Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Heshama kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Hata mimi namshukuru jua limechomoza maana usiku ilikuwa mrefu sana na mbu wanapiga miruzi
 
Heshama kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Huyo Dr wako kafanya jitihada gani za wewe kuamka salama?
 
Heshama kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Nami namshukuru Raisi samia kwa kuleta maporomoko katesh. Nampongeza sana ama kweli
anaupiga mwingi
 
Heshama kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Kuna lijinga na lipumbavu limoja likimsifia mwishoni linachomeka namba ya simu linaitwa Mbwa wa Shambani sijuwi Mwasambwanda ...ila wengi JF wenye akili wameli ignore likileta mavi yake hapa jukwaani.
 
Chanzo cha ujinga , ushamba na unafiki huu ni wasomi wasiojiamini wasio na ubunifu, maarifa na uwezo wa kutengeneza ukwasi/utajiri au fedha za kuwawezesha kuishi na kuhudumia mahitaji yao ( handle bills) pasipo kutegemea handouts ( mishahara, posho, rushwa n.k)!

Ndo maana msomi wa aina hiyo akipata ajira au uteuzi anamwabudu mteuzi au Mwajiri kama Mungu wake!

Mfano ni Profesa Palamagamba Kabudi aliyesema alitolewa jalalani, na kufikia kumuita Hayati Rais Magufuli kwamba Mheshimiwa Mungu!!!!!
Aggrey Mwanri alifikia hatua ya kumwomba Mungu amshukuru Rais Magufuli!
Aliyewahi kuwa Mkoa wa Morogoro Dr.Rajab Rutenge alipopigwa chini aliungama , nimekosa Mimi,nimekosa Mimi, nimekosa sana!

Hatushangai leo kuona viongozi wakubwa leo hata kutoa pole kwa wananchi waliopata majanga hawawezi mpaka waungane na Mheshimiwa Rais!

Wanasiasa na hasa wasomi wengi bila teuzi ,mishahara, posho na rushwa akili zao ni sawa na Kuku wa kufugwa wa kisasa tu!
 
Back
Top Bottom