Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Labda furaha ya nyie watanzania mazombie.
 
Labda furaha ya nyie watanzania mazombie.
Watanzania wanaojitambua na wenye akili Timamu wanaelewa vyema na vizuri sana mchango wa Rais Samia kuwafanya wakaishi kwa amani , Utulivu na furaha mioyoni wanao.ndio sababu wanaendelea kumuunga mkono kwa kishindoo.
 
Lucas angalia unapoenda unaenda kukufuru hivi ni lini utakua na akili wewe kwenye uchaws pia haumo wewe ni bung'o wewe
Rais Samia Mama yetu Mpendwa ataendelea kuishi katika mioyo yetu watanzania kwa namna alivyoleta na kuchochea furaha mioyoni mwetu.angalia namna tunavyoishi kwa furaha ,amani, utulivu,umoja , mshikamano na upendo wa hali ya juu.
 
Mi furaha yangu imeshikiliwa na mke wangu maana ndiye ananipa mautamu 24/7
 
Hivi wote hmu hakuna mtu mwenye jini aniuzie kuna jambo nataka nifanye
 
ama kwa hakika ni kipenzi cha mioyo ya waTanzania,

na,
daima waTanzani wenye mapenzi mwema, tunakuombea kwa Mungu afya njema na maisha Dr.Samia Suluhu Hassan 🌹
 
Nilitaka kujua wewe ni kabira gani na umekulia mjini au kijijini?
 
Anachokosea mama watz sie tushazoea Tv fukuza mtu mbele ya tv watu washangalie kalipia watu mbele ya umati agiza rpc kamata uyu weka ndani, kula mapai ,kula muhindi wa kuchoma , gawa fedha maburungutu,jenga barabara kila kukicha kopa then sema fedha zetu za ndani, sema mabeberu hwatutakii mema ,fukuza uyu piga kirungu huyu mbele za watu kupitia Tv watu watashabgalia ita press conference tisha wahabdishi wa habari ongea ongea maneno yakujiayo kichwani atawin manake watz kuwateka rahis kupitia tv onyesha kusikitika onyesha kukasirishwa onyesha kuumia hata km pembeni vice versa sumbua watu wooote wanaosumbua utawala wako atawin ila ka sivyo bado ana kazi kubwa kucheza na TV
 
Rais Samia Mama yetu Mpendwa ataendelea kuishi katika mioyo yetu watanzania kwa namna alivyoleta na kuchochea furaha mioyoni mwetu.angalia namna tunavyoishi kwa furaha ,amani, utulivu,umoja , mshikamano na upendo wa hali ya juu.
Luca uko nchi hii hii au upo Botswana wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…