Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ushauri wa kishetani huu. Mwambie atoe ajira pia apandishe mishahara.
 
Unataka Mchwa waanze kula kiti hadi ushungi?
 
Kwani binadamu na nyani wanaelewana?Ushauri wa kibaguzi.Wabaguzi wana adhabu yao punde...
 
Hongera sana mama , pole sana na msiba huu mzito , ya kwangu ni machache tuu
1. Kuendeleza miradi ya kimkakati na kuacha miradi isiyo ya kimkakati
2. Katibakatiba katiba katiba mpyaaaa
3.elimu elimu elimu hasa elimu ya juu iwe na ubora
 
Hivi matanga mbona mnamzonga mama wa watu kwa mrazimisha afuate nyayo za Magufuli?

Kila rais ana falsafa yake ya uongozi ,maana naona kuna kampeni kubwa iliyo anzishwa na matanga ili kumchanganya na kumuondolea hali ya kujiamini rais.

Hata yeye mwenyewe amesha wagundua na ndio maana aliwajibu kwa kuwaambia yeye ndio rais hakuna atakaye mpangia cha kufanya.
 
Namba mbili nipo nawe.

Hiyo moja hapana.
Kufanya kazi ya siasa siyo kampeni. Hiki ni kisingizio kilichobuniwa maksudi kuzuia watu wasifanye kazi yao ya siasa.

Na neno hili "Mzalendo" kuweni na tahadhari ya kulitumia hovyo hovyo. Msione wasiokubaliana na msimamo wenu kutokuwa wazalendo.

Uzalendo una maana pana zaidi.
 
Nakwambiaje uyu mama Samia anasubiri.
Yani ni spana za umeme.
 
Samia si JPM. Hawezi kuwa JPM. Tegemea utawala ule wa ccm unaoufahamu.
 
Usimshauri Samia Hassan arithi maadui wa Magu.Akitaka afike mbali aanze ukurasa mpya Kama ilivyokuwa kutoka kwa jakaya kwenda kwa magu. Magu opened a new page and he started afresh, hakurithi maadui wa jakaya ndomaana ata leo wakina babusea unawaona uraiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…