Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Waimba mapambio ni moja wa viumbe hata duniani !!! Ogopa sana mtu anaekusifia il ale !!!!
 

Namuombea hekima katika kutekeleza majukumu yake mazito. Asiyumbishwe na hoja zenye nia ya kuleta mtengano kwenye jamii. Asikubali wajanja wachache wakapenyeza agenda zao mbaya
 
Huenda Tanzania ikaangukia kua nchi yenye Watu wenye FURAHA chini ya huyu MAMA ,kila ninaemiona anaonesha sura ya Matumaini !???
 
Dunia hii kweli tunapita tu. Magu ndio basi tena. Utapiga kelele wee ila ukishakufa ndio basi tena
 
Yale macho kama amekula kungu toka Tanga kwa wadigo [emoji23]

Tafadhali kuwa na heshima yule ni Rais wa Tanzania.

Ingekuwa mama yako ungefurahia kuambiwa hivyo?

Uhuru wa kusema usizidi mipaka na kukiuka heshima na tamaduni zetu.
 
Kwanza kabisa lazima tutambue jambo la msingi ni kumshukuru raisi wetu anajua matatizo mengi sana kwenye hii nchi ambayo yanahitaji ufumbuzi wa haraka sana na tayari ameanza kujikita hasa katika suala zima la uchumi wa taifa kuzidi kusonga mbele lakini pia kwa uchumi wa mtanzania mmoja mmoja kwa kutizama zaidi katika kuvutia wawekezaji waje kuwekeza katika sekta ya viwanda na madini na sehemu nyinginezo ili kutatua tatizo la ajira kwa watanzania na kupaisha uchumi wa nchi, hivyo naimani pesa itakuwa ya kutosha kwa watanzania wanaopenda kufanya kazi na suala la kuongea lazima awe huru sisi tunachotaka tuyafurahie maisha ya Tanzania basi kwani mtoa mada una uhakika gani lugha uliyotumia kwenye uzi wako kama kila msomaji kuridhishwa na maneno yako.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Unapoteza muda.
Leo kasema kuwa anakeshaga mpaka alfajiri akiw amtandaoni.
ila nachojiuliza hivi huwa anatumia VPN.
 
Utasababisha jiwe atoke kaburini aje atuchambe alafu arudi kaburini kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…