Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
"Asavali"Leo siku ya mwisho tunamalizana na hilo zaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Asavali"Leo siku ya mwisho tunamalizana na hilo zaga
Aiseee nilikua sijui sasa ngoja nilitafute jogooo langu mtaaniLeo mwisho
Leo ni siku nyingine tena Rais Samia Suluhu aka Mama amepata wasaa wa kuhutubia wateuzi na taifa kwa ujumla.
Hotuba yake imesheheni matumaini mapya, lugha laini na rahisi kueleweka na kila mtu.
Mama ameonyesha kuifahamu nchi na matatizo yake kwa ujumla.
Amegusia karibu nyanja zote za kijamii, kiuchumi nakadhalika.
Huko kote ameonyesha kuwa naye anahitaji kuona mabadiliko hasa katika huduma bora.
Jambo lingine muhimu zaidi amwonyesha kuwa pamoja na kufukua cv za wateule wake pia hufuatilia sana maoni ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii, hii ni habari njema kabisa kuwa wengine tusiokuwa na access naye moja kwa moja tutakutana mitandaoni.
Jambo lingine muhimu ni kuqgiza vyombo vya habari vilivyofungwa vifunguliwe ili asionekane anakandamiza uhuru wa habari...hongera nyingi.
*******
Nimetumia kauli hii (kuwa ni mtamu) nikimaanisha kuwa Mama amevuta hisia za wengi kumaikiliza, lugha yake na lugha ya mwili/body language vinafufua matumaini mapya kwa wengi wafanyabiaahara, wakulima na wafanyakazi.
Tangu aapishwe kuwa rais wa JMT anga la Tanzania limekuwa jepesi mno, kuna tumaini jipya, mwelekeo mpya na amani ya moyo.
Mambo haya machache yamwnifanya nimuone kuwa huyu mama ni Mtamu.
ANGALIZO KWA MAMA
1. Utaimbiwa kila nyimbo tamu/praise and worship na kila kada hadi nyumba za ibada
2. Utaitwa mteule wa Mungu
3. Tutajikomba sana
Nakuomba usilewe sifa zetu.
Sisi hawahawa tunaokusifu ipo siku tutakupeleka msalabani kukusulubu uchi na viboko juu.
Kukwepa hili jitahidi kuyaishi haya unayoyahubiri itakusaidia usisulubiwe sana.
Mungu akutie nguvu
Umesahau polepole ,SAA - BAYA yule DC wa huko haiAkae mbali na watu kama kina Nape , Bashite ,Said Bagaile et al.
You have said it all dudeVijana wa siku hizi hamna heshima kabisa. Mbali ya kuwa Rais wa nchi pia ana umri zaidi au kama mama yako.
Kwa nini?Sio masihara nimemwelewa sana huyu mama, sema namuonea huruma 2025 haezi penya chamani tena
Kumbuka ni Amiri jeshi mkuu.Kwa nini?
Ccm ni wale waleMkuu ebu tulia, mbona kama umebaki kwenye era iliyopita ya kusifu na kuabudu? Pathetic
Mkuu na wew ulikuwa unakereka kama mimi?"Asavali"
Nilichoka kusikia nyimbo za maombolezo mpaka usiku nikawa naota,.😒Mkuu na wew ulikuwa unakereka kama mimi?
Yale macho kama amekula kungu toka Tanga kwa wadigo [emoji23]
Nimeyaongea hayo piaWanasiasa kuongea maneno matamu ni sehemu ya majukumu yao.....tungoje matendo.......
Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.
Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa Rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.
Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.
Ndio ubinadamu ulivyoMkuu na wew ulikuwa unakereka kama mimi?