Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walivyochoka hiyo smg ikiwa na risasi kuibeba ni shidaWakitolewa wataenda ungana na wenzao wa kule msumbiji subiti kwanza.
Not at all,I am just being realistic.That was sarcastically presented.
sarcastic- meaning : given to using irony in order to mock or convey contempt.
KATIBA MPYA
Bwa shehe Ndani hujawaweka wala mwaka 2012 hukuwa/bado hujazaliwa na hilo suala ni la huko Zanzibar na sio kwa awamu hiiBwa shehe mbona jazba? Kwani mimi ndo nimewaweka ndani hao watu? Unataka kusema kwamba ,tusitetee mashehe kwakuwa kuna watu wa dini nyingine nao wanateswa? Uzi ulihusu mashehe ,Kama vipi anzisha wa akina Sith na Ruge.
Acheni mambo ya siasa waliyoyafanya zanzibar kimwagiwa tindikali kwa padre na pia kuchoma makanisa sio mambo rahisi kabisa. Hawa watu walikuwa hatari sana na
wangeachwa leo zanzibar wakristo na waislamu wangekuwa wameuana sana .
Itoshe tu wakae wajifunze kuwa na adabu tena ikiwezekana wakae miaka ishirini lumande wakitoka watakuwa Na adabu stahiki
Kosa Lao ni kuhamasisha kura ya maoni Ya ama Znz iendelee kuwa sehemu ya Muungano au Laa ndio sababu tunaenda mwaka wa nane kesi haisogei
Wakitolewa watazidi kuwa maarufu na huenda wakatambulika kama Mashujaa wa Visiwani na wakiendelea kusota Mahabusu pia imekuwa ngumu kutengeneza ushahidi wa kuwatia hatiani
en.wikipedia.org
Nafikiri mmekosea kujua kwamba tarehe ya Rais kupokea ripoti ya CAG huwa communicated mwezi mmoja kabla na Rais hupanga mwenyewe. Kwa mantiki hiyo unaweza kuona kabisa hii ripoti ilikuwa ipokelewe na Magu muda tu. Mnalaumu bure tuMSOMI HURU GEREZANI
Tangu rais samia suluhu hassan alipoingia madarakani nimekua nikifuatilia sana hotuba zake pamoja na ripoti anazotoa CAG na nimegundua baadhi ya vitu...
Kwahiyo ukitaka ile ripoti isiwasilishwe? Mbona miaka yote hufanyika vilevile? Utofauti ni kwamba mama samia kasema kichere kuwa huru basi.MSOMI HURU GEREZANI
Tangu rais samia suluhu hassan alipoingia madarakani nimekua nikifuatilia sana hotuba zake pamoja na ripoti anazotoa CAG na nimegundua baadhi ya vitu...
We punguani kweli! Unataka Mama yetu afanye nini wakati uwasilishwaji wa taarifa ya CAG ni taratibu za kawaida?, Tawala zote kwenye ulimwengu hupokea taarifa hizi kwa ajili ya kujipima uwezo wao wa kusimamia mamlaka zao na kuangalia namna ya kujisahihisha, tatizo la " mkono wa chuma" makando kando yaliyomo kwenye taarifa ile yalikuwa yanamuhusu mwenyewe kutokana na kushiriki moja kwa moja kwenye maamuzi kwa maslahi binafsi pasipo kushirikisha Taasisi husika na matokeo yake ndiyo haya.MSOMI HURU GEREZANI
Tangu rais samia suluhu hassan alipoingia madarakani nimekua nikifuatilia sana hotuba zake pamoja na ripoti anazotoa CAG na nimegundua baadhi ya vitu...