Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hebu tusianze kiwaza miaka 10 nyuma.
Jpm hakufanya vizuri lkn JK alikuwa hovyo kabisa, enzi za kuulizwa unanijua mim ni nani?
Ni afadhali zaidi ya mtu kukuuliza unanijua Mimi ni Nani,kuliko enzi za kuja kuchukuliwa nyumbani kwako usiku au hate mchana mbele ya watoto wako na kuoelekwa kusikojuoikana na usirudi tena kuonana na watoto wako.
Wasijue Kama uko hai ama umekufa,wasijukama umezikwa au umetupwa,wasiweze hate kuona kaburi lako.
Au unaweza kurudi ukiwa umeumizwa mwili na roho kwa kufanyiwa vitendo vya kidhalilishaji Kama.....
 
Kama atajitenga na Jk, na wezi wengine walioiba kipindi chake, na abakie njia kuu tutaifurahia hiyo sauti yake ya kimama, vingevyo ajiandae kuvurugwa mpaka na mama ntilie na wamachinga!
Nafurahi kuwa Yule mtanzania wa Chini anatambua nini anatakiwa afanuiwe wakati wa awamu ya nne walikiwa bado usingizini CCM wakileta upuuzi wa kuiba ndo watakapojua maana ya wanyonge
 
Atatukanwa sana na atadhalilishwa sana na chadema.

Lakini sisi women tutampigania mpaka tone la mwisho.
Kama ata copy na kupaste yote ya mtangulizi wake itakuwa halali yake kutukanwa na kudhalilishwa na wote maana hatakiwi aendeleze machungu ya kuuawa, kujeruhiwa, kupotezwa, kufungwa, kufungwa midomo, kusifia kwa maagizo toka juu na kama ataongoza nchi na Serikali ya Samia Suluhu Hassan. Nchi na Serikali ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
Habari wadau..!
Uzi teyari karibuni kutoa maoni ya matarajio yako kwa mama wetu mpendwa na jambo gani ungependa aanze nalo kabla ya yote??
Sioni mabadiliko yoyote makubwa; yule mama pamoja na kuwa na sauti ya upole na kuonyesha kuwa pragmatist kuliko Magufuli, yuko intertwinned sana kwenye vision ya Magufuli kuhusu maendeleo ya miundo mbinu mijini na vijijini. Hatapenda kuonekana kwamba amezorotesha maendeleo ya miundo mbinu iliyoachwa na Magufuli. Elewa kuwa bado na yeye anahitaji kiti hicho tena mwaka 2025!
 
Asubuhi Chai na Vitumbua

Mchana Ugali na Mboga mezani

Usiku Wali na Chai angalao na Bia mbili

Mama Samia Suluhu hatutaki Uchumi wa kijinga wa kwenye makaratasi Tunataka Uchumi wa Vitumbua na Ugali Mezani huo Uchumi wa kati nao uende kuzimu
 
Hamkutoa ushirikiano kipindi chote cha miaka 5+, kwani tumepungukiwa nini zaidi ya kuhesabu mafanikio yaliyofurika! Mama Samia angalia nyayo za baba basi, na uzibe masikio mpaka tufike ng'ambo!
You are the Iron lady of our time!
Wanufaika wa udhalimu utawaina tu. Msiba wa kiongozi gani uliwahi kusikia watu wanakamatwa kwa kushangilia kifo cha marehemu?
 
Nafurahi kuwa Yule mtanzania wa Chini anatambua nini anatakiwa afanuiwe wakati wa awamu ya nne walikiwa bado usingizini CCM wakileta upuuzi wa kuiba ndo watakapojua maana ya wanyonge
Watz wameshajua wanachotegemea kufanyiwa, sasa waache wajichanganye waone, watazikimbia ofisi zao! Kwa kweli Magu amewafungua ufahamu!
 
Wanufaika wa udhalimu utawaina tu. Msiba wa kiongozi gani uliwahi kusikia watu wanakamatwa kwa kushangilia kifo cha marehemu?
Shida ni nini? Madawa ya kulevya? Au vyeti vyeki?, Au kutumbuliwa kwa kutokuwajibika!? Maana ni hawa ndio walalamishi!
 
Nina imani kubwa na Mama tutapata katiba mpya na Tanzania bora zaidi,Asante Mungu Baba.
 
Nina imani kubwa na Mama tutapata katiba mpya na Tanzania bora zaidi,Asante Mungu Baba.
Thubutu! Huyu alikuwa makamu wa samweli sita mkuu. Ni mzanzibar mhafidhina muumini wa muungano kwelikweli.
 
Back
Top Bottom