Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ume
Leo ni siku nyingine tena Rais Samia Suluhu aka Mama amepata wasaa wa kuhutubia wateuzi na taifa kwa ujumla.

Hotuba yake imesheheni matumaini mapya, lugha laini na rahisi kueleweka na kila mtu.

Mama ameonyesha kuifahamu nchi na matatizo yake kwa ujumla.
Amegusia karibu nyanja zote za kijamii, kiuchumi nakadhalika.
Huko kote ameonyesha kuwa naye anahitaji kuona mabadiliko hasa katika huduma bora.

Jambo lingine muhimu zaidi amwonyesha kuwa pamoja na kufukua cv za wateule wake pia hufuatilia sana maoni ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii, hii ni habari njema kabisa kuwa wengine tusiokuwa na access naye moja kwa moja tutakutana mitandaoni.

Jambo lingine muhimu ni kuqgiza vyombo vya habari vilivyofungwa vifunguliwe ili asionekane anakandamiza uhuru wa habari...hongera nyingi.

........MAMA SAMIA NI MTAMU......

Nimwtumia kauli hii nikimaanisha kuwa Mama amevuta hisia za wengi kumaikiliza, lugha yake na lugha ya mwili/body language vinafufua matumaini mapya kwa wengi wafanyabiaahara, wakulima na wafanyakazi.

Tangu aapishwe kuwa rais wa JMT anga la Tanzania limekuwa jepesi mno, kuna tumaini jipya, mwelekeo mpya na amani ya moyo.

Mambo haya machache yamwnifanya nimuone kuwa huyu mama ni Mtamu.

ANGALIZO KWA MAMA
1. Utaimbiwa kila nyimbo tamu/praise and worship na kila kada hadi nyumba za ibada

2. Utaitwa mteule wa Mungu

3. Tutajikomba sana

Nakuomba usilewe sifa zetu.
Sisi hawahawa tunaokusifu ipo siku tutakupeleka msalabani kukusulubu uchi na viboko juu.
Kukwepa hili jitahidi kuyaishi haya unayoyahubiri itakusaidia usisulubiwe sana.

Mungu akutie nguvu
U
Leo ni siku nyingine tena Rais Samia Suluhu aka Mama amepata wasaa wa kuhutubia wateuzi na taifa kwa ujumla.

Hotuba yake imesheheni matumaini mapya, lugha laini na rahisi kueleweka na kila mtu.

Mama ameonyesha kuifahamu nchi na matatizo yake kwa ujumla.
Amegusia karibu nyanja zote za kijamii, kiuchumi nakadhalika.
Huko kote ameonyesha kuwa naye anahitaji kuona mabadiliko hasa katika huduma bora.

Jambo lingine muhimu zaidi amwonyesha kuwa pamoja na kufukua cv za wateule wake pia hufuatilia sana maoni ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii, hii ni habari njema kabisa kuwa wengine tusiokuwa na access naye moja kwa moja tutakutana mitandaoni.

Jambo lingine muhimu ni kuqgiza vyombo vya habari vilivyofungwa vifunguliwe ili asionekane anakandamiza uhuru wa habari...hongera nyingi.

*******

Nimwtumia kauli hii nikimaanisha kuwa Mama amevuta hisia za wengi kumaikiliza, lugha yake na lugha ya mwili/body language vinafufua matumaini mapya kwa wengi wafanyabiaahara, wakulima na wafanyakazi.

Tangu aapishwe kuwa rais wa JMT anga la Tanzania limekuwa jepesi mno, kuna tumaini jipya, mwelekeo mpya na amani ya moyo.

Mambo haya machache yamwnifanya nimuone kuwa huyu mama ni Mtamu.

ANGALIZO KWA MAMA
1. Utaimbiwa kila nyimbo tamu/praise and worship na kila kada hadi nyumba za ibada

2. Utaitwa mteule wa Mungu

3. Tutajikomba sana

Nakuomba usilewe sifa zetu.
Sisi hawahawa tunaokusifu ipo siku tutakupeleka msalabani kukusulubu uchi na viboko juu.
Kukwepa hili jitahidi kuyaishi haya unayoyahubiri itakusaidia usisulubiwe sana.

Mungu akutie nguvu
Mapambio sawa kuyasikikliza,akili za kuambiwa chnganya na za kwako(J.M.Kikwete).
 
Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.

Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa Rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.

Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.
Sukuma Gang mumeviiimba!!! Wacheni noma zenu
 
Nasema mama ni mtamu kwa msisitizo
wewe endelea kusisitiza ila moderators wamesikia hoja yangu na wameifanyia kazi immediately, wame edit title yako na kuondoa neno "mtamu".

hiyo ni kuonyesha mimi ni mwerevu, wewe ni mjinga.
 
wewe endelea kusisitiza ila moderators wamesikia hoja yangu na wameifanyia kazi immediately, wame edit title nzima ya uzi wako.

hiyo ni kuonyesha mimi ni mwerevu, wewe ni mjinga.
Mwerevu anayeshughulishwa na mjinga haha
 
Leo ni siku nyingine tena Rais Samia Suluhu aka Mama amepata wasaa wa kuhutubia wateuzi na taifa kwa ujumla.

Hotuba yake imesheheni matumaini mapya, lugha laini na rahisi kueleweka na kila mtu.

Mama ameonyesha kuifahamu nchi na matatizo yake kwa ujumla.
Amegusia karibu nyanja zote za kijamii, kiuchumi nakadhalika.
Huko kote ameonyesha kuwa naye anahitaji kuona mabadiliko hasa katika huduma bora.

Jambo lingine muhimu zaidi amwonyesha kuwa pamoja na kufukua cv za wateule wake pia hufuatilia sana maoni ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii, hii ni habari njema kabisa kuwa wengine tusiokuwa na access naye moja kwa moja tutakutana mitandaoni.

Jambo lingine muhimu ni kuqgiza vyombo vya habari vilivyofungwa vifunguliwe ili asionekane anakandamiza uhuru wa habari...hongera nyingi.

*******

Nimwtumia kauli hii nikimaanisha kuwa Mama amevuta hisia za wengi kumaikiliza, lugha yake na lugha ya mwili/body language vinafufua matumaini mapya kwa wengi wafanyabiaahara, wakulima na wafanyakazi.

Tangu aapishwe kuwa rais wa JMT anga la Tanzania limekuwa jepesi mno, kuna tumaini jipya, mwelekeo mpya na amani ya moyo.

Mambo haya machache yamwnifanya nimuone kuwa huyu mama ni Mtamu.

ANGALIZO KWA MAMA
1. Utaimbiwa kila nyimbo tamu/praise and worship na kila kada hadi nyumba za ibada

2. Utaitwa mteule wa Mungu

3. Tutajikomba sana

Nakuomba usilewe sifa zetu.
Sisi hawahawa tunaokusifu ipo siku tutakupeleka msalabani kukusulubu uchi na viboko juu.
Kukwepa hili jitahidi kuyaishi haya unayoyahubiri itakusaidia usisulubiwe sana.

Mungu akutie nguvu

Tatizo sio mama. Mara nyingi huwa Sisi hatupendi kufikiri na kujijudge. Watanzania tunapenda no pain but gain tu kwa gharama yoyote. Muda utaongea.
 
Umesahau kuwa Mh Raisi ni mwanamama Tena mwenye asili ya Pwani.
Vijembe lazima ili mradi asituambie tukae na mavi yetu
 
Vijana wa siku hamna heshima kabisa. Mbali ya kuwa Rais wa nchi pia ana umri zaidi au kama mama yako.
Kuna utamaduni mbaya sana umekuja, kila kitu ni utani. Mustakabari wao, wa familia zao wa taifa,ajira, biashara, Afya, elimu, ulinzi, haki zao mitandaoni na mitaani anajaribu kuweka sawa.

Tena kwa unyenyekevu na nia ya dhati. Wakiletewa jembe ambalo halivumilii matusi, kejeli, kebehi wanalia. Badala ya kumpa support, at least benefit of doubt.

At wapi matusi kwa kwenda mbele.
 
Wasukuma hawanaga aibu

Hatuwaiti watu kwa majina yao tena ni makabila yao hasa wakiwa wasukuma tu. Hii mipango ya viongozi nyie kutumia ukabila haitakufikisheni popote.

Anampango nao wale sangara, sato, dagaa, ngombe, mbuzi, kondoo anataka wakauzwe Uarabuni.

Achilia mbali madini na vinginevyo Wasukuma hawana njaa, kilimo kimeshamiri, atafuta masoko ya uhakika mchele, mahindi, pamba etc.

Amewateu wengi, watu millioni 20 hawawezi kubabaishwa na kampeni zenu za kitoto. Halafu ndio wanazaliana zaidi, chakula sio issue. Tegemea wataongezeka.

Kwenye serikali yake wapo wengi tu.
 
Back
Top Bottom