Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Ngoja ije ile KENGE LUCAS MWASHAMBWA,ipo siku itaanzisha Uzi humu JF kwamba inamshukuru Spika wa Bunge na Rais kwa kuliwezesha KUNYA vizuri[emoji28]
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Focus on what matters only mkuu ukiruhusu kila kitu kiingie kichwani tena kwenye nchi kama Tanzania unaweza usiwe na afya nzuri ya akili..
Good morning!
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Hahahaha
Unajua zuzu hupenda kusifiwa hata pasipo na sifa
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Hao wasifiaji ni chawa wake, na ni lazima wasifie kinafiki hata kama wanajua ni uongo Ili kulinda matumbo yao. Chezea njaa wewe!
 
Yesu Kristo ambae ni kaka yetu tunaomwamini alisema hivi ufalme wake sio wa dunia hii

mungu wapo wengi tu hata sisi ni mungu. Kwahiyo hujui ni mungu gani wanamuita
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Na mimi namshukuru mh rais SSH jana nilifanya mazoezi ya kukimbia meter mia tano😃
 
Namshukuru pia mhe.. Sir mia bodaboda wenye degree wanazidi kuongezeka.
 
Usiposhukuru kwa kidogo basi huwezi kupata kikubwa. Na hii ni moja ya nguzo za kufanikiwa. Be greatful for what you have.

Binafsi kiukweli ninaipongeza Serikali kwa kuilinda nchi yetu na sasa nimefika kazini salama bila bugudha njiani.

Shukurani za kipekee sana zimwendee rais wetu kwa kuiongoza nchi kwa amani na utulivu.
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
😂😂😂🙌
 
Usiposhukuru kwa kidogo basi huwezi kupata kikubwa. Na hii ni moja ya nguzo za kufanikiwa. Be greatful for what you have.

Binafsi kiukweli ninaipongeza Serikali kwa kuilinda nchi yetu na sasa nimefika kazini salama bila bugudha njiani.

Shukurani za kipekee sana zimwendee rais wetu kwa kuiongoza nchi kwa amani na utulivu.
💪ivo yaan
 
Namhukuru Rais kwa kuniwezesha kusoma bandiko lako
Hofu, ipo siku mtu atamshukuru Rais kwavile '' mwandani wake'' alimtunuku kabla ya alfajiri
 
Hata mie namshukuru mh. rais leo kumekucha salama na ninaelekea kwenye mihangaiko yangu kubangaiza
 
Back
Top Bottom