matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Alifanya mazuri mengi, ila angedumu miaka kama 20 tu kwenye kiti, Umaarufu wa Mungu ungeporwa wote.Mtanikumbuka 😂🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifanya mazuri mengi, ila angedumu miaka kama 20 tu kwenye kiti, Umaarufu wa Mungu ungeporwa wote.Mtanikumbuka 😂🔥
Ngoja ije ile KENGE LUCAS MWASHAMBWA,ipo siku itaanzisha Uzi humu JF kwamba inamshukuru Spika wa Bunge na Rais kwa kuliwezesha KUNYA vizuri[emoji28]Heshima kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Focus on what matters only mkuu ukiruhusu kila kitu kiingie kichwani tena kwenye nchi kama Tanzania unaweza usiwe na afya nzuri ya akili..Heshima kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
😆😆😆😆🙌Tunamshukuru mama kwa kuleta mvua Hanang japo imeleta maafa kidogo ila siyo mbaya misaada tumepata.congraturations to her.
Hata Mbowe na Lipumba ni Viongozi na Mungu ameruhusu waendelee Kutawala hadi atakapoamua vinginevyo
HahahahaHeshima kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Hao wasifiaji ni chawa wake, na ni lazima wasifie kinafiki hata kama wanajua ni uongo Ili kulinda matumbo yao. Chezea njaa wewe!Heshima kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
Kahoja kavihoja.Yaan heading imenifanya nicheke Kwa dharau, lakini baada ya kuja kusoma nimeona kama una kahoja vile
Na mimi namshukuru mh rais SSH jana nilifanya mazoezi ya kukimbia meter mia tano😃Heshima kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
😂😂😂🙌Heshima kwenu wanajamvi.
Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.
Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.
Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.
Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.
Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.
Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru,tumwabudu,tumnyenyekee,tumtukuze ni kodi zetu,mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada.Fedha hizi upitishwa na Bunge letu kibogoyo.Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.
Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba,ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
💪ivo yaanUsiposhukuru kwa kidogo basi huwezi kupata kikubwa. Na hii ni moja ya nguzo za kufanikiwa. Be greatful for what you have.
Binafsi kiukweli ninaipongeza Serikali kwa kuilinda nchi yetu na sasa nimefika kazini salama bila bugudha njiani.
Shukurani za kipekee sana zimwendee rais wetu kwa kuiongoza nchi kwa amani na utulivu.
Kwahiyo hiyo morning glory umepewa na nani?? Sentence tataHata mimi namshukuru Samia asubuhi nimepewa morning glory nipo mwepesi. Mama anaupiga
Aione FaizaFoxyUna hoja usikilizwe, shuleni ulienda kusomea maarifa sio ujinga.