MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Macho makali, waione TCRAKwa macho gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Macho makali, waione TCRAKwa macho gani?
Kunguni mnaongezeka sana siku hizi 😂Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kufunga ramadhani
namshukuru sana na kumpongeza kwa kikokotoo kitakachotuuumiza uzeeni nguvu zetu zitakapoisha.Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kufunga ramadhani
Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kumuamkia babangu leo
Namshukuru rais kwa kuniwezesha kuvuka barabara ya Manzese leo
Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kupiga pasi nguo zangu za kuvaa leo
Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kuandika maneno haya
Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kuiona tena ramadhani na kufunga
Namshukuru rais kwa kuniwezesha kuamka kula Daku leo
Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kuelewana na mke wangu
Namshukuru rais kwa kuniwezesha
Kuwa hai mpaka leo
Hapo vipi niendelee kumshukuru
Au ni ishie hapo
Mkuu vipi tena?😆😂🤣😂🤣🤣🤣
Machawa yanakera sana nduguyanguMnamgombanisha kiongozi wetu na Mungu.
Si ndio mnataka iwe hivi?Mnamgombanisha kiongozi wetu na Mungu.
Nimecheka hizi dhihaka kwa wale sifia sifia mama.Mkuu vipi tena?😆
Mpaka inakera sana au sio Mkuu?Nimecheka hizi dhihaka kwa wale sifia sifia mama.
😂
Wale wanaosifia sifia upuuzi huwa wanakera. Mtu hata mvua ikinyesha pongezi kwa raisi, sasa si upuuzi huu.Mpaka inakera sana au sio Mkuu?
Uliyempongeza umeona alikoifikisha nchi?Acha mikwara wewe, mama Samia ndiye amiri jeshi mkuu sasa hivi, na ataongoza nchi kadri kwa style yake sio lazima amuige Magufuli, Magufuli ameshakufa.
Magufuli ali reverse vitu vingi vya Kikwete tu alivyoona havipo sawa, Mwinyi pia ali reverse vingi vya Nyerere ambavyo aliamini havipo sawa, Mkapa hivyo hivyo, Kikwete n.k
Ni afadhali mara nyingi kuliko MagufuliUliyempongeza umeona alikoifikisha nchi?
Haya endelea tena kumpongeza
Pesa ni ya kumwaga kazi yoyote inalipa? Sijui research yako umefanya wapi, pls rudi kitaa upya uyaone maishaBahati nzuri tuna demokrasia na kila mtu anauwezo wa kutukana au kutoa maoni bila kuhofia mtu yeyote tofauti ni enzi zile za Giza ambapo hata ukila kw amama ntilie unaogopa kuongea.
Mama amebkish swala moja tu la umeme nchi iwe paradiso. Pesa zipo za kumwaga ukiamua kufanya kazi yoyote inalipa