Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Tumeshuhudia, ziara za kushtukiza kwenye idara na Taasisi zilizo chini ya Wizara mbalimbali, kama Hazina (Fedha); Muhimbili (Afya); Bandari (Uchukuzi) na TRA - Customs (Fedha).

Sasa Je, ni lini TANROADS (Miundombinu) nako watapata ugeni? Au huko mambo shwari?

Nawasilisha.
 
Asee kwa hii kasi ya huyu jamaa miaka 10 itakua kama miaka 2 tu...tawala milele Pombe!
Zaidi ya yote ukingwe na maadui wote unaowatengeneza ukiwa na nia njema kabisa kwa nchi hii.

Eti Uhuru day 2012 inatumika billioni 20! Mwaka huu 4 billion ilipangwa itumike!πŸ˜•πŸ˜•

Hizo tayari km 3.6 za barabara ya Morroco Mwenge...
 

Ya 2012 ilikuwa ni special - miaka 50 ya Uhuru na viongozi wa mataifa mbalimbali walialikwa tofauti na ya mwaka huu. Hata hivyo lazima kuna 10% za watu humo.

Amefanya la maana kupeleka kwenye barabara fedha za mwaka huu.
 
yani hii nchi ilibaki kunuka tu, kama madudu yote haya kiongozi aliyepita alikuwa hayaoni, du
 
Ya 2012 ilikuwa ni special - miaka 50 ya Uhuru na viongozi wa mataifa mbalimbali walialikwa tofauti na ya mwaka huu. Hata hivyo lazima kuna 10% za watu humo.

Amefanya la maana kupeleka kwenye barabara fedha za mwaka huu.

Ndio 50 years ni special,ila sio 20bn bado ni ujinga wa hali ya juu.
 
Hata miaka 100, ila sasa aliangalie upya suala la kupunguza watumishi,, kama atapunguza wakurugenzi sawa ila wenzangu na mm atuhurumie.
 
Hata miaka 100, ila sasa aliangalie upya suala la kupunguza watumishi,, kama atapunguza wakurugenzi sawa ila wenzangu na mm atuhurumie.

Swala la kupunguza wale walioingia kimagumashi na waliostaafu utumishi wa umma.
 
Kama ni hivyo sawa, maana watu tumeanza kuwa wanyonge.
 
Swala la kupunguza wale walioingia kimagumashi na waliostaafu utumishi wa umma.

Yah, tumpe 20yrs yeye tu peke yake ili akimaliza turudishe kama ilivyokuwa. Hii itatusaidia kuipanga nchi yetu na kuwanufaisha watoto wetu na vizazi vijavyo.
 
Siungi mkono hoja, muda wa kukaa madarakani hata rais awe anakubalika kiasi gani kwa wananchi, ukifika muda wake ni BYE.
 
Yah, tumpe 20yrs yeye tu peke yake ili akimaliza turudishe kama ilivyokuwa. Hii itatusaidia kuipanga nchi yetu na kuwanufaisha watoto wetu na vizazi vijavyo.

Ila wamarekani weusi watakwambia "term limits".Term limits are only possible when there are guidelines put in place to adhere to regardless of who is reigning.
 
unaleta ya kagame..

Ila wamarekani weusi watakwambia "term limits".Term limits are only possible when there are guidelines put in place to adhere to regardless of who is reigning.

Siungi mkono hoja, muda wa kukaa madarakani hata rais awe anakubalika kiasi gani kwa wananchi, ukifika muda wake ni BYE.

Unasema bye kisa nini?aje mwingine avuruge vuruge kila kitu?
Refer to JK alivochukua kwa Benja.
 

Haya wanaosema magufuli aendelee kutawala miaka 20 mikono juu...........wanaosema asiendele kutawala mikono juu.....OK MIMI KAMA SPIKA NASEMA WALE WOTE WALIOSEMA AENDELEE KUTAWALA WAMESHINDA
 

Tutaingia mtaani tuandamane katiba ibadilishwe ili Magufuli aongeze miaka 10 mingine baada ya 2025
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…