Mnyabwilo
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 720
- 255
Kuna ukame ktk hazina ya dola... Serikali haina Money !! Ndo wanafanya uvamizi huu...badala ya kuomba kwa hiyari!!!!
MAHANJU huoni sherehe zimefutwa.....
Hivi mkuu mnataka mabadiliko yapi maana ueleweki kabisa...achane asafishe nchi kinachokuumiza kwamba anasafisha uchafu wa vasco da gama
Last edited by a moderator: