kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Lile la Tanesco ni kijipu uchungu.Ukikitumbua kinaota kwengine
Safari hii kitafikishia mwisho...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile la Tanesco ni kijipu uchungu.Ukikitumbua kinaota kwengine
Subiri bunge lianze akitaja sasa atakamatwaTunamuomba Mh saed kubenea pia atutajie wale walochota za stanic bank kama alivyo tuahidi wakati wa kampain zake ili Mr.mkamuaji awashughulikie ipasavyo wote.
Mzee Magufuli: Wakati wa kudai hela za escrow kutoka kwa hawa wabunge wako wawili (Chenge na Prof) ni sasa!
Huyu wa Arusha anatakiwa nae achunguzwe vizuri maana haweZi kufanya dhambi kubwa hivi bila sababu
Huyu bi mdashi kakomaaa kisiasa zaid ya mamvi
Naomba sana tena sana Mungu awaamshe salama Magufuli na Majaliwa ili wakatumbue jipu la Tanesco kabla hajatangaza baraza la mawaziri ni muhimu sana ili waziri ajaye asiwe muoga.
Mungu ivisha hili jipu mapema.
Amen