Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Jambo baya kuliko yote duniani ni kuzaa watoto nao wanazaa wajukuu lakini bado wanalia lia hatujala baba hajatutumia unga na mboga. Unauliza nyie mmefanya nini wanajibu tufanyeje baba hajatuma fedha ya chakula.
 
Kuna wakati niliwaza saana kauli ya mhe, kuwa moyo wake mmm hauko sawa endapo nchi haitaenda kwa Magufuli.

Ni kwamba aliona km Nabii vile Watanzania wanavyokaribia kupoteza lulu? Maaana leo wanaobeza hata kuweka kijito cha kijifuriko hawatoshi, i.e wengi wameridhiiika na mwendo kasi wa JPM.

Hongera mhe. kwa kutuletea Jembe uliona na wachache tunaelewa kauli yako.
 
Kuna wakati niliwaza saana kauli ya mhe.....kuwa moyo wake mmm hauko sawa endapo nchi haitaenda kwa Magufuli. Ni kwamba aliona km Nabii vile Watanzania wanavyokaribia kupoteza lulu? Maaana leo wanaobeza hata kuweka kijito cha kijifuriko hawatoshi, i.e wengi wameridhiiika na mwendo kasi wa JPM. Hongera mhe. kwa kutuletea Jembe uliona na wachache tunaelewa kauli yako.
Viroba vya mchana ni hatari kwa afya yako!!
 
uko sawa ila sidhani kama ana amani sana huko aliko hakuwahi kudhani kua ana mkabidhi nchi ili atumbue majipu
 
Magufuli kaanza kutumbua majipu Kwa kasi ya ajabu, ni jipu gani unaona kabisa halitumbuliki, au hatakaza mikono, na uso Wakati Wa kulitumbua?

Serikali kuhamia Dodoma, CDA kuendelea kula pesa huku maendeleo hayaonekani Dodoma, kurejesha nyumba za Serikali zilizouzwa kienyeji, pesa ya Tegeta Escrow, zile billion 250 ambazo zilipotea wizara ya Ujenzi kwa kulipwa makandarasi hewa, kununua kivuko cha 1978 kwa billion 8 wakati bei harisi ni million 400 tu, mabehewa feki, kupitia upya mikataba ya Gesi, uagizaji sukari nje ya Nchi .
 
Magufuli akiweza kuhamia Dodoma na Serikali yake akaliokoa jiji la Dsm na misafara na foleni, hili jipu ndilo Gumu kuliko yote akiweza hili jipu hakika Magufuli atakuwa Rais milele .
 
Hili hata Mungu hawezi. Kutaja akaunti zisizo na majina? Labda ataje kwa namba au?
Zisizo na majina ilitakiwa aweke kwenye 'inverted commas' au "quotation marks", maana si kweli kwamba accounts hazina majina, ila ni majina yanayolindwa kwa nguvu zote, hayatakiwi kutajwa...itawezekanaje akaunti zisiwe na majina, kwani zimejifungua zenyewe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom