habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Lowassa ila litatumbuliwa tu
Anakuumiza kichwa eenh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa ila litatumbuliwa tu
Ananiumiza sana nawaza kwanini limekuwa jizi sugu hiliAnakuumiza kichwa eenh
Hafai kabisa huyo Kimei. Yeye ndiye aliyekuwa anaratibu mkakati wa wafanyabiashara na taasisi za fedha kumhujumu Magufuli wakati wa kampeni. Kimei ni mkabila sana. Kimei aliona kuwa Lowasa ndiye Rais na akafanya kila jitihada kumhujumu Magufuli. Ilifikia hatua alichangisha kwa nguvu wafanyakazi wa CRDB fedha kwa ajili ya kampeni za Lowasa. Huyu mtu hafai kabisa na wala hastahili hata kufikiriwa
Bila shaka Dr kimei alichofanya CRDB kufanya Bank Giant hapa nchini na kutia jambajamba hata bank za kigeni hata kwenye kulipa mshahara Dr Kimei ni bonge la CEO akipewa nafasi Tutatoboa