Watu msiokuwa na shukrani, ni kubeza kila kitu, hamasikia kuwa kesi ya kobe ikomahakamani. Aidha, hao majangili mnaishi nao mtaani, hamtoi taarifa bali kukaa vijiweni na kupiga umbea !!!
Tukupatia domain, hosting na website kwa bei nsuri whatsapp 0769338868
La wizi wa kura...Magufuli kaanza kutumbua majipu Kwa kasi ya ajabu, ni jipu gani unaona kabisa halitumbuliki, au hatakaza mikono, na uso Wakati Wa kulitumbua?
Isipokuwa la Lubuva na JechaKila jipu litatumbuliwa tu hakuna namna...........!!!!!
Lakini majina ya waliobeba viroba si yanajulikana. kwenye mkanda wa camera za Stanbic cctv wamo.labda kama viroba vilibebwa na majini.Hili hata Mungu hawezi. Kutaja akaunti zisizo na majina? Labda ataje kwa namba au?
jipu la 'mfumo'Magufuli kaanza kutumbua majipu Kwa kasi ya ajabu, ni jipu gani unaona kabisa halitumbuliki, au hatakaza mikono, na uso Wakati Wa kulitumbua?
Nyumba za serikali walizogawana, hilo jipu akilitumbua kweli atakuwa bingwa wa kutumbua majipu vinginevyo ni ubinafsi uliotukuka