Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Hawa manspaaa wa kufukuza wote ...Yaani kama kuna sehemu ya kutimua kabisa Basi ni Manispaa za Dar es salaam. Hawa ni zaidi ya TRA . Hawa ndio walio toa tenda kwa makampuni ya Ridhwani Masha na Silaa ambayo wamegawana wilaya.
Wameshindwa kuzoa taka na hakuna anaye wauliza. Ni wakati wa kumuondoa mkurugenzi kwa unafiki. kwani ukimuona mtu anahimiza usafi sasa utadhani wakati wa kikwete alizuiwa kufanya usafi? ni unafiki ..wanajipendekeza.
tunahitaji mawazo mapya katika kuliendesha hili jiji ,JPM futa ajira za hawa jamaa .
Wameshindwa kuzoa taka na hakuna anaye wauliza. Ni wakati wa kumuondoa mkurugenzi kwa unafiki. kwani ukimuona mtu anahimiza usafi sasa utadhani wakati wa kikwete alizuiwa kufanya usafi? ni unafiki ..wanajipendekeza.
tunahitaji mawazo mapya katika kuliendesha hili jiji ,JPM futa ajira za hawa jamaa .
- WAFANYA KAZI NI WENGI SANA WAMEPEANA NA WAPO WA HEWA.
- MABANGO YA MATANGAZO YAPO KWA MALAKI NA MOJA DOGO LA 2X3 MTS BASI UNALIPA TSHS 250,000 KWA MWAKA . KUNA MABANGO ZAIDI YA 500,000 JIJINI. KILA NYUMBA MJINI INA MABANGO 30 KWENDA MBELE ..SEHEMU HII PEKEE INATOSHA KULIINGIZIA JIJI MAPATO YA KUTOSHA LAKINI ASILIMIA KUBWA YANAKWENDA MIFUKONI NA RUSHWA
- MA BILLBOARD YAPO KIBAO MJINI. BILLBOAED MOJA KUTANGANZA KWA MWEZI NI TSHS 10,000,000 . KUNA YALE YA SCREEN BEI YAKE IPO JUU. HAYA NI YA WATU BINAFSI LAKINI CITY UKIWAULIZA KATIKA HIZO 10M WAO WANAPATA NGAPI BASI NI AIBU KWA WIZI .HAYA MAPATO YANGEWEZA KUONDOA MASHIMO YOTE MJINI NA BARA BARA ZETU ZIKABAKI NZIMA BILA YA MASHIMO MWAKA MZIMA NA IKAWA HIVO KUENDELA
- CITY INA CHUKUA 0.3% KAMA CITY LENVY HII INALIPWA QUARTERLY. NA UNALIPA KWA TURNOVER YAKO ...NI FEDHA NYINGI MNO ...ANGALIA JIJI HILI BIASHARA ZOTE ZIPO HAPA...MA BANKS KIBAO, MAKAMPUNI YA INSURANCE , VIWANDA , UAGIZIAJI NA USAFIRISHAJI , MADUKA MAKUBWA YAPO DAR ...0.30 YA TURNOVER YA DAR ES SALAAM INAPEWA CITY YA DAR ES ALAM...HAKIKA ZINATOSHA KUONDOA KUJENGA BARA BARA ZOTE MPAKA ZA NDANI NA KUPANUA ZOTE KUBWA BILA YA KUOMBA..LAKINI WAPI HAKUNA KITU ZINAYAYUKA AU HAWAKUSANYI KWA KUPEWA KITU KIDODO.
- HAWA WANAKUSANYA PESA ZA LESENI ZA BIASHARA ...BIASHARA NA MA OFFISI DAR NI KILA PEMBE ..LESENI YA CHINI NI 100,000 KWA MWAKA HEEBU JPM ANGALIA ..KUNA FAINI , VIBALI VYA KUJENGA, TAXI MAGARI , MADALADALA , MALORI , CANTERS WOTE WANALIPA CITY...
- KUBWA LAO NI PARKING ....KWA WASTANI MAGARI 100,000( INAWEZA KUZIDI HAPO)YANA PARK HAPA NA KULE JIJINI , KUANZIA ASUBUHI MPAKA JIONI PARKING ALMOST ZOTE ZIPO FULLL..WASTANI WA 2000 KWA SIKU NA WANA KUSANYA 200, 000, 000 KWA SIKU ...KWA MWAKA FANYA HESABU JPM...MR MAGUFULI..NI NYINGI MNOO...JEE KWELI KUNA HAJA YA KUWALEA HAWA WATU WA CITY ? NA LEO WANAKUJA NA KUJIKOMBA ILI KUFICHA UOZO NA UFISADI ?