Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nhisi hakuna jipya utendaji wa Rais Magufuli. Huu ni wajibu wake tena hajatimiza ndoto za usawa, haki kudhibiti mauaji ya ovyoovyo, kujilimbikizia mali na mengine mengi. Kinacho tufanya tushangae sikioni. au tunashtushwa na matukio?
Anachokifanya ni kuuanika uozo uliomo serikalini. Hamna jipya bali yote haya yalipigiwa kelele na Slaa 2010. Tena mengine mengi bado hajayagusa. najaribu kuamini msemo wa Roma kwamba UCHAFU WA MRISHO UNAMFANYA MSAFI AONEKANE BENJA.
KUNA sehemu nyingi sana tunaporwa. kodi zinapotea, misamaha mikubwa ya kodi kwa makampuni, ukimbizwaji wa mbio za mwenge, mishahara minono kwa baadhi ya watumishi, katiba mbovu, madai ya walimu, mishahara hewa, undugu makazini.baadhi ya vyeo visivyo muhimu serikalini tena vya juu(mikoa na wilaya). Tanzania ni kichaka chenye kira mnyama, ukirusha jiwe utasikia ushamtungua mmoja.
Anaiacha uchi serikali iliyoongozwa na watangulizi wake, mda naye tutayasikia yake.
Ficha upumbavu wako nyumbu wewe
Asiyejua maana haambiwi maana! Baki ulivyo! Ni kichanga tu wewe; ukikua utaelewa. Bs
Nhisi hakuna jipya utendaji wa Rais Magufuli. Huu ni wajibu wake tena hajatimiza ndoto za usawa, haki kudhibiti mauaji ya ovyoovyo, kujilimbikizia mali na mengine mengi. Kinacho tufanya tushangae sikioni. au tunashtushwa na matukio?
Anachokifanya ni kuuanika uozo uliomo serikalini. Hamna jipya bali yote haya yalipigiwa kelele na Slaa 2010. Tena mengine mengi bado hajayagusa. najaribu kuamini msemo wa Roma kwamba UCHAFU WA MRISHO UNAMFANYA MSAFI AONEKANE BENJA.
KUNA sehemu nyingi sana tunaporwa. kodi zinapotea, misamaha mikubwa ya kodi kwa makampuni, ukimbizwaji wa mbio za mwenge, mishahara minono kwa baadhi ya watumishi, katiba mbovu, madai ya walimu, mishahara hewa, undugu makazini.baadhi ya vyeo visivyo muhimu serikalini tena vya juu(mikoa na wilaya). Tanzania ni kichaka chenye kira mnyama, ukirusha jiwe utasikia ushamtungua mmoja.
Anaiacha uchi serikali iliyoongozwa na watangulizi wake, mda naye tutayasikia yake.
Elimu ya msingi mpaka kidato cha nne ulisema ni bure, hii bure mbona haiko wazi kuhusu malipo ya mitihani ya kitaifa hasa wa kidato cha nne??
Ebu toleeni ufafanuzi ili maana january ndiyo hiyo vijana wanaenda kufanya usajili wa mtihani huo
Umeambiwa inaanza kutumika Januari 2016 sasa kiherehere cha nini? Si usubiri ianze rasmi halafu ukilipishwa ndiyo uje kulalama hapa?
Ameomba ufafanuzi tu...