Alafu ni bora na masifuri yapungue pia, Noti ya 10,000 ibadirike iwe 1000!!
Wana JF,
Rais wetu Dr. JPM mtu wa vipimo na viwango anaendelea kuwakonga nyoyo aliowahaidi kumwamini kuibadilisha nchi hii kutoka mzimu wa ufisadi kuwa nchi ya mfano, tiyari juhudi zake za operation OKOa pesa imetamaruki, njia mbili za kumsaidia kuokoa uchumi ni kubadilisha pesa za madafu haraka sana, hali hii itawafanya wafanyabiashara haramu waliokuwa wanaweka pesa zao kwenye mashimo na safe watakimbia kununulia vitu kama mashamba, nyumba na vitu vya thamani, watakaoshindwa kubadilisha basi ziwafie kwani kukaa nazo nyumbani hazina faida kwa uchumi wa nchi, watu hao watakimbia kuzibadilisha katika mfumo wa dola, hivyo dola zitakauka, ni vizuri kuwahi kufunga maduka yote yanayouza fedha za kigeni ili kuziba mianya ya kutorosha pesa, pesa zote zielekezwe kwenye mabenki ya serikali tu,
Jambo la pili, kwa kuwa pesa zetu zimetengenezwa kwa kiwango hafifu sana fedha hizi ziteketezwe utafutwe muundo mwingine wa fedha zetu ziongezewe ulinzi kwa kuweka halama zisizoweza kuigwa, hivyo atakuwa amewakomesha wenye mitambo ya kutakatisha fedha.
Wana JF,
Rais wetu Dr. JPM mtu wa vipimo na viwango anaendelea kuwakonga nyoyo aliowahaidi kumwamini kuibadilisha nchi hii kutoka mzimu wa ufisadi kuwa nchi ya mfano, tiyari juhudi zake za operation OKOa pesa imetamaruki, njia mbili za kumsaidia kuokoa uchumi ni kubadilisha pesa za madafu haraka sana, hali hii itawafanya wafanyabiashara haramu waliokuwa wanaweka pesa zao kwenye mashimo na safe watakimbia kununulia vitu kama mashamba, nyumba na vitu vya thamani, watakaoshindwa kubadilisha basi ziwafie kwani kukaa nazo nyumbani hazina faida kwa uchumi wa nchi, watu hao watakimbia kuzibadilisha katika mfumo wa dola, hivyo dola zitakauka, ni vizuri kuwahi kufunga maduka yote yanayouza fedha za kigeni ili kuziba mianya ya kutorosha pesa, pesa zote zielekezwe kwenye mabenki ya serikali tu,
Jambo la pili, kwa kuwa pesa zetu zimetengenezwa kwa kiwango hafifu sana fedha hizi ziteketezwe utafutwe muundo mwingine wa fedha zetu ziongezewe ulinzi kwa kuweka halama zisizoweza kuigwa, hivyo atakuwa amewakomesha wenye mitambo ya kutakatisha fedha.