Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.

Hii ndiyo tabia ya Ukweli. Haujifichi. Baada ya kutoka NECTA elimu imezikwa kwa division Zero.
 
Naunga mkono hoja.kama hakuna zruznga na figisufigisu 2na muhitaji m2 km joyce atukwamue hapa 2lipo.elimu hali ni tete.
 
Waislam tutajuta umesahau yale matokeo ya mtihani ule alitufanya mini?

mwislamu wakweli hawi mwongo ka wewe
Unatofauti gani na khafili???
wengi hatukuwa waislamu lakini cha moto tulikiona
 
Huyu mama nimefanya nae kazi pale Baraza la Mitihani kwenye sakata la wanafunzi wa shule za msingi kufanya udanganyifu kwenye mitihani na pia sakata la baadhi ya viongozi kughushi vyeti. Mama yuko makini na misimamo isiyoyumba. Naamini aliondolewa Kama alivyoondoka Prof Muhongo.
 
Pole na kazi mpiganaji mwenzangu.

Kosa ni kufanya Kosa na si kurudia kosa. Kama kweli tunataka elimu ya TZ na watoto wetu ipande tushindane East Africa, Africa na ulimwenguni, basi Dr. Ndalichako ni mtu sahihi.

Kwanza hatuna uhakika kuwa alifanya MAKUSUDI. Pia kwenye mambo yatakayotufaidisha wote tujitahidi kuweka udini pembeni. Fikiria mara ya pili mpendwa wangu. Tunahitaji brain pale na sio bora brain.

Kwa mabadiliko yaliyokuja elimu bure, mikopo inapatikana nk tunachohitaji na tukipiganie ni quality ya education.

Queen Esther

Huyo NECTA ilimshinda...ataiweza wizara? Tutolee utani hapa.
 
Huyu system haimtaki hata kidogo, aligoma kushusha viwango vya ufaulu
System ikamuona sio mwenzao, kumbuka systema ndiyo inaamua nani awepo na nani asiwepo na sio magu
 
Tukutane hapa kwa wanaotaka dr joyce apewe wizara.mods naomba msiunganishe uzi huu.kiukweli elimu inahitaji m2 makini.
 
Tukutane hapa kwa wanaotaka dr joyce apewe wizara.mods naomba msiunganishe uzi huu.kiukweli elimu inahitaji m2 makini.
 
Hata mimi huyu mama nina mkubali.
 
Huyu mama alipoondoka ndio tukaanza kuona div 5, Mara merit,pass Mara mtu ana d flat anaenda form five, form two ukipata d mbili zingine f zote unaenda form three basi ni shida tupu. Magufuli huyu mama anaendana na kasi yako hapendi siasa ndani ya elimu.
 

Ndg Njali Nakuunga mkono Kwa Dr.Ndalichako Na mimi naomba uniunge mkono Kwa Ubunge maalum Kwa Ndg.Ludovic na Kuwa Waziri kamili wa Fedha he has done so much for his country bila kuyumbishwa Na yeyote kwenye repot Zake.Japokuwa alikosa kiongozi mwenye sifa Za wawajibisha aliowabainisha kufanya uubadhilifu na ufisadi kwenye repot Zake.Ameibua Madudu mengi bila woga.ni mzalendo wa Kweli hajajilimbikizia Mali wala kupokea Rushwa.Angekuwa Na Rais JPM Pengine wangewajibishwa
 
Huyu system haimtaki hata kidogo, aligoma kushusha viwango vya ufaulu
System ikamuona sio mwenzao, kumbuka systema ndiyo inaamua nani awepo na nani asiwepo na sio magu

60% walipata 0 mkuu akaona ni upuuzi mtupu akakataa maagizo yao
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…