Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
Huyu mama alinifanyia mbaya 2012 lakini sijali daima namuona kuwa ndiye iron lady wa bongo hakunaga shujaa mpambanaji wa Elimu kama huyu!
Magufuli kama unasoma maoni hili jema lipokee!
watu wa karibu na magufuli mkamwambie kuwa wizara ya elimu inahitaji moyo wa chuma
Hii ndiyo tabia ya Ukweli. Haujifichi. Baada ya kutoka NECTA elimu imezikwa kwa division Zero.