Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.

nahisi hapa nyati wali adapt game ya simba waka m-round yeye, and it worked hahahah
 
Duh si mchezo, yani mpaka simba kaamua kupanda juu ya mti kujiokoa amejua hawa hawawezi kukwea, lakini jamaa wakajenga kibanda wanajua atashuka tu.
 
huyu alipigwa tu hakuna namna....kwa uzito wake na kuusapoti kwa kucha lazima alichoka akaanguka kapika ukelele,, akapewa dozi....ndio mwisho wake hapo....


Hahahah kwa uhakika kabisa maana kucha zake haziwezi support uzito huo kwa muda mrefu kabla hajajiachia na kuwa asusa
Mamba naona anataka kuvamia nyara sijui katumwa huyu
 
Namba mbili tu ndio yenye mashiko. Huwezi kujenga mahali hatarishi uachwe tu kwa vile ni nyumba ya ibada au ya kuishi. Sheria lazima ichukue mkondo wake.
 
Jaribu kujiweka katika nafasi ya simba ndo utakapo muhurumia.
 
The STUNNING IMAGES that feature in the photographs in the 2015 in 'THE DAILY MAIL UK'.
 

Hehee
Lkn kuna mtu alimwona simba porini anachechemea, kutembea shida kabisa, jamaa akamtoa mwiba, simba hakumfanya kitu. Hii ni true story.
 
The STUNNING IMAGES that feature in the 2015 in 'THE DAILY MAIL UK' today.
 
Duh si mchezo, yani mpaka simba kaamua kupanda juu ya mti kujiokoa amejua hawa hawawezi kukwea, lakini jamaa wakajenga kibanda wanajua atashuka tu.

Nyati hurusha mkojo wake kwa adui aliyejificha mtini, yani anakojolea mkia alafu anarusha maji maji yale, huo muwasho lazima simba aachie mti.
Kwa iyo hapo wanasubiri mmoja apate mkojo wamrushie waanze mshughulikia.
 
Nyati hurusha mkojo wake kwa adui aliyejificha mtini, yani anakojolea mkia alafu anarusha maji maji yale, huo muwasho lazima simba aachie mti.
Kwa iyo hapo wanasubiri mmoja apate mkojo wamrushie waanze mshughulikia.

!!! Bro haya sio matango pori kweli unatulisha?
 
Nyati hurusha mkojo wake kwa adui aliyejificha mtini, yani anakojolea mkia alafu anarusha maji maji yale, huo muwasho lazima simba aachie mti.
Kwa iyo hapo wanasubiri mmoja apate mkojo wamrushie waanze mshughulikia.

hahahah hii stori huwa ipo lakini sijui kama ina ukweli
 
Hehee
Lkn kuna mtu alimwona simba porini anachechemea, kutembea shida kabisa, jamaa akamtoa mwiba, simba hakumfanya kitu. Hii ni true story.

hahaahh umechanganya mkuu ni stori hii nilishaisikia, labda kama walimpiga sindano ya usingizi, (tranquilizer) ....mie nahisi mnyama waporini mwiba huwa hauingii aisee.....ule unyayo ni kama tairi ya Goodyear iliyojaa upepo msumari haungii hahaha siko sure lakini...

ujue watu wa vijijini wanaotembea peku huwa hawalalamiki miba...asa itakua simba kweli....

na wanyama waporini sio wakusogelea aisee ni time bombs......Kibao kimoja tu cha simba na hizi chips mayai zetu..mnh
 
Hata mikondo mingi ya Maji na vijito JIJINI DAR WATU WAMEJENGA KWA AMRI HI NAO WOTE WATAVUNJIWA AMA NI HAWA TU WA JANGWANI/MKWAJUNI. WAENDE NA HUKO KWINGINEKO NDO MAANA MVUA KIDOGO DAR MAFURIKO KILA MAHALI.NA SIYO KUWA WANAWAONEA LAKINI LIBAKI KAMA FUNZO KWA WALE WANAODIRIKI KUJENGA MAENEO HAYO
 
Hiyo namba tatu!!! nakushangaa sana viongozi wa dini ndio wanafundisha watu maadili, ikiwa ni pamoja na kufuata sheria na kuheshimu mamlaka!! sasa wakati wanajenga nyumba za ibada maeneo ambayo ni " NO PARKING " walifuata utaratibu na kupewa vibali? sasa wengine wamejenga maeneo ya vyanzo vya maji, juu ya mabomba ya maji, kwenye mitaro je tuache watu wengine wataseke?
 
Kwa comments tu hizo chache naomba kujua mleta post kama unajua yalivyo mawazo ya watu kabla ya Mungu mwenyewe kutimiza maombi yako! Ungekuwa wewe ndie rais unazani kwa mawazo yako hayo iwapo ungetatekeleza yangekuzidishia baraka kutoka kwa Mungu ukizingatia comments wa wadau hapo juu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…