mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 758
Mkuu mxyo16 haijalishi Simba ni Mzee au Kijana shughuli ya Mbogo ni pevu hata wawindaji wanatakwambia Mbogo si mchezo wa kitoto.Simba mmoja hana uwezo wa kumshuhulikia Mbogo lazima wawe watatu,wanne au watano na bado kazi itakuwa ngumu kweli kweli wakifanikiwa wengine watakuwa na majeraha.Sijawahi kuona Simba mmoja akimshambulia Mbogo.Mara nyingi kundi la Simba wanatumia mbinu ya kuwakurupusha Mbogo na kutenganisha akibaki mmoja ndio wanakuwa na uwezo wa kuattack.
nahisi hapa nyati wali adapt game ya simba waka m-round yeye, and it worked hahahah