Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mkuu, Kikwete mlisema ni dhaifu. Magufuli anawakazia mnasema anaongoza kidikteta. Poleni sana. Yaani miaka hii lazima mpotee kisiasaHakuna cha kukatwa mirija wala nini hana. Mtu akiongoza kibwegebwege atakosolewa tu. Hakuna malaika chini ya jua
Hahahaha hilo limekuingia mkuuHuku sasa kufilisika kimawazo
Acha kiherehere sijakuuliza wewe.Hakuna anayetafuta ukuu wa wilaya hapa,bali tunatetea nchi kuingia kwenye genge la wanyang'anyi
Bahati nzuri ni kwamba Rais wtu anajua nini anakifanya. Hawezi kusikiliza maneno ya walioshindwa
Anti Liza nae... hakosi vituko kila mara...Sasa wewe mtoto wa kike umefuata nini hapa?
Herehere ni wewe ambaye hutaki kutuliza kinyero chako dawa ikuingieAcha kiherehere sijakuuliza wewe.
Acha kiherehere sijakuuliza wewe.
Mkuu bwege ni mama yako aliyezaa toto tahira kama wewe..Hakuna cha kukatwa mirija wala nini hana. Mtu akiongoza kibwegebwege atakosolewa tu. Hakuna malaika chini ya jua
We endelea kusambaza line za tigo..vipi mama yako anaendeleaje baada ya kupasuliwa mnyero.Anti Liza nae... hakosi vituko kila mara...
Mkuu, Kikwete mlisema ni dhaifu. Magufuli anawakazia mnasema anaongoza kidikteta. Poleni sana. Yaani miaka hii lazima mpotee kisiasa
Mkuu bwege ni mama yako aliyezaa toto tahira kama wewe..
Mkuu bwege ni mama yako aliyezaa toto tahira kama wewe..
We unafikiri ulivyokuwa unapewa hela udeki barabara ni wote na mwaka huu mtanyooka tu.Buku saba at work
Wewe mdada vipi mbona unakuwa una kiherehre kama LOWASA alivyojinyea jukwaani punguza kisebu sebu.Bora umejitangaza vyema kabisa.
We unafikiri ulivyokuwa unapewa hela udeki barabara ni wote na mwaka huu mtanyooka tu.