Aniko
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 1,766
- 960
Ninge
Ningemshauri One man show haina maana aachane nayo hakuna anayejua kila kitu.Ivi kwa wewe ungepata nafasi ya kumshauri Rais Magufuli tena kwa kualikwa Ikulu ungemushauri nini kuhusu maswala ya;
1. Kijamii,
2. Kisiasa,
3. Kiuchumi, na
4. Kimazingira?.
Acha jazba tuone na yeye anasoma hapa vizuri, shauri vizuri tu bila kutoa matusi na kama huna ushauri nyamaza