Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
wenye ndoto na mitandao ya urais hawafai uwaziri. wataishia kupanga mitandao na biashara ya kununua watu. weka mawaziri wachapa kazi. urais wananchi wataibua mchapakazi kama walivyokuibua wewe.
EXCELLENT!!! Yaani aitaka kufanikiwa na watanzania tufanikwe afuate ushauri HUU!!!!

EXCELL!!!!
 

Fox kwa hili nakuunga mkono,ile nondo aliyoitema siku pombe anapokea cheti cha ushindi na kushangiliwa na magamba hakika inafaa.nukuu"wananchi wanataka mabadiliko na mojawapo ni katiba ya wananchi"by Anna!
 
Karibu nusu ya wabunge wa CCM either wapo kwenye kashfa ya ufisadi au wana kaufisadi ndani mwao.
 
Mawazo mazuri. Ila Prof. Muhongo asimsahau. Madeni makubwa yanayozungumziwa TANESCO waliyoyaleta ndo hao mliokuwa mnazimia wakija kuomba kura.

Akikosa Prof. Muhongo tutajua yale yale. Mwakyembe big up.

Nafasi ya waziri wa Fedha ni nyeti sana. Ingekuwa tunaweka utanzania Mbele badala ya vyama Prof. Lipumba angetusaidia. Vinginevyo, nafikiri Mhe. Rais ateue mtu mwenye uwezo kutoka nje ya wabunge waliotajwa mpaka sasa.

Kihusu Elimu, sote tumemsikia Rais Mstaafu Mkapa ameeleza wazi kwamba kiwango cha elimu kimeshuka kwa miaka hii 10. Sasa, Kawambwa tusimwone hata tone kwenye baraza la mawaziri. Narudia, Kawambwa asionekane hata tone kwa ushauri wangu.
 

Kamanda achana na Prof Muhongo.ile ni namba nyingine. Ni mashine ya uhakika nadhani rais asimuache kwenye baraza lake. Yule ni kati ya mawaziri ambao wakiwepo tuna uhakika wa kwenda kwenye uchumi wa kati.jembe lile baba! Ni muadilifu, mchapakazi, ni result oriented, ni type ya Magufuli. Hana ufisadi na wala hatamani na wala sio mfanyabiashara.
Angalia sifa kubwa ya waziri afaaye kuingia katika cabinet hii ni kwamba asiwe mfanyabiashara. Walau hapo pa kuanzia. Sio anakuwa waziri nayeye humohumo .anataka kuchomeka tenda zake kama walivyokuwa wanafanya kina Lowasa! Tafadhali badilikeni
 


Mawaziri watumie magari yao binafsi, wapewe mafuta na service ya serikali.
Au hayo mashangingi mapya wapewe kama mkopo, ndani ya muda wahakikishe wanailipa.
 
Hao uliowataja ndio nguzo ya ccm , ukiwaondoa ccm imebomoka .
 
Ubarikiwe Mkuu!
Maendeleo ni hatua, kusiwe na 2 kama hakuna 1 na 1, wala 3 kama hakuna 2 na 2.
Anaita sasa.
 
Shost kama walivyo wa-Tz wengine,ana uhuru wa kutoa maoni yake.Kwa hiyo tusimbeze bali tutoe maoni yetu kwa vile tunavyoona ni sahihi zaidi.
 
Wakitutembelea hapa atumie kiswahili. Akitembea kwa wenzetu waarabu, wachina, warusi Nk atumie kiswahili

Akitembea ktk nchi za kiingereza kama uingereza, baadhi ya nchi za ulaya na marekani hana budi kutumia kiingereza.


Akihutubia mikutano ya kimataifa kama ya afrika mashariki, sadc, AU na UN atumie kiswahili
 


tanzania kila mtu
kocha
mwalimu
waziri \
mbunge

naona mpka

uraisi
 
Hii thread ilinipita pembeni.

Unachokifikiri ndicho ninachokifikiria kuhusu huyu Dada/Mama yetu.

Ninatumaini Rais Magufuli atamkumbuka katika safu za wabunge/viongozi wa kisiasa bungeni.

Ninashukuru kwa mchango wako unaoakisi fikra zangu.
 

Kwani kuna lugha nyingine mbadala ambayo angeweza kuitumia zaidi ya kiswahili?
 
Sawa nitamwambia... Ila ujue kwamba mimi simpigii chapuo mtu yeyote yule ila nimetoa mchango kutokana na mtoa mada alivyowasilisha. Ningekua nimeyasema haya mbele ya rais hapo ningejiona nimempigia chapuo.

We kamwambie tu uache porojo, hapa jf RAIS ana watu wake wanaokusanya maoni na mitazamo ya watu. ndio maana ukiwachokonoa wakubwa hapa jf watakujia juu.Nashauri Akisharudisha hizo pesa achunguzwe ili serikali ikjiridhisha 2020 ndo apewe huo uwaziri
 
No 1,3,4 na 8 ni watu makini sana na wanahitaji sana ....hivyo nasikitika kukutangazia kuwa maombi yako katika namba tajwa hayatozingatiwa kabisa! Hao ni wachapakazi wazuri na wana hitajika...

watanzania kama wewe wapimwe akili kuona kama iko sawa kabla ya kuwalaumu ( Muhongo?)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…