Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Haujihisi kuwashwawashwa hivi?
anyway...

haudhani pia kuwa ile kauli ya TUSIPANGIANE bado ipo na inakuhusu?

umesema unamshauri kwa mujibu wa katiba?...unadhani vyama vya siasa vimezuiwa kufanya siasa kwa katiba ipi...ni hiyohiyo unayotumia wewe au kuna nyingine inayotumika wewe huna?

...kuwa makini we are not usingvthat katiba ...not to that extent.
 
Uongo mtupu, taja jina la kijiji na picha ya moto uliounguza
 
kuna msemo wa waswahili wanasema" TEMBEA UONE "
sasa mkuu uko nyuma ya keyboard utasikiaje na kuona?
 
chuki imekuwa kwa kiwango cha juu sana yani we fahamu hapa sasa wanakijiji wamefikia hatua ya jino kwa jino na we ukienda kuazima kitu kwa wa itikadi tofauti na yako utafukuzwa kama mbwa mwizi.

Viongozi kila uchao wanahubiri chuki
Kijiji ama sehemu za wapi mkuu ?
Ili nijenge PICHA
 
Kama rais amekuwa hivi basi hatuna budi kumkumbusha ya wahenga asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
 
MKUU

Alichoandika mtoa hoja ni ukweli kabisaa....tembea vijiji mbalimbali utaona kwa uhakika badala ya kusimuliwa.
Mkuu hii ni hoja nzuri sana unaweza kunipa MIFANO ni WAPI huko?
 
juzi wanachadema walienda kuchangia damu hospitali mbona walizuiwa kisa tu damu inatoka kwa wafuasi wa chadema hilo nalo geni kwako?
Mkuu, hata mimi sikuelewa ni kwa nini.Labda vyombo husika walikuwa na sababu zao kwa nini walikatazwa. Pengine, na nasema PENGINE labda kutoa damu ilikuwa ni COVER UP ya kitu kingine tofauti na utoaji wa damu. Mimi sijui.
 
Km ni msikivu ayafanyie haya, ni ukweli usiopingika mioyo ya watu wengi imejaa chuki, hasira juu ya matukio ya ovyo yanayoendelea Humu nchini
 
Ikifikia hatua ya kunitumia watu wasiojulikana mie nitajificha kusikojulikana lakini wasiwasi wangu ni tunaeza kuwa taifa la watu wasiojulikana linaloelekea kusikojulikana.
 
Ikifikia hatua ya kunitumia watu wasiojulikana mie nitajificha kusikojulikana lakini wasiwasi wangu ni tunaeza kuwa taifa la watu wasiojulikana linaloelekea kusikojulikana.
Wewe hapa washadaka mpakaIP address yako pengine.
 
Rais wako katumwa na Kagame ili kuiharibu Tanzania yaani haivuruge ili itokee vita na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ndio itakuwa furaha ya Kagame na Magufuli atakimbilia Rwanda mara atakapoona tunaanza kuchinjana. Ameshaanza kujengewa palace nchini Rwanda. Magufuli anataka kuiaribu Tanzania iliyokuwa na amani tele na anaiaribu kutokana na umaskini wa baadhi ya watanzania walio wengi na wasiokuwa na elimu. Kwani asingetumwa na Kagame asingefanya haya anayoyafanya sasa rais wa nchi hawezi kusema kuwa mwanaccm asimsalimie ndg yake au mtoto wake alieko opposition. Mfano mnao alivyotaka kumvua ubunge mtoto wa Bulembo kisa ameolewa na Zito
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…