joyce mngongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 890
- 972
Huyu raisi hapangwi,hashauriwi,hajaribiwi,alichukua form mwenyewe,alijichagua yy mwenyewe,lubuva akamtangaza tu ! kuna aliyewahi kutokea chini ya kua kama huyu ?sasa asubiri kifuatacho kwa wanaojulikana kwakua kaenda kwao kwa misifa yake na kujipandekeza,akamdhihaki Mungu na kujiita mpenzi wa Mungu,kisha akatapika nyongo yake kwa jirani hadi alipotosheka.huku nyumbani hakukaliki wananchi roho zimeharibika,sasa amebaki kuigiza na majenerali wanapigwa risasi malangoni mwao ili kupata suluhu ya Lisu.pazuri hapo ! Kila mteule anapangiwa tamko lake na nini chakusema ! Mbona hapo nyumba hayakuwepo Haya? Spika ndo kabisa anamsingizia mpaka mbunge wa ccm kulipia ndege iliyomsafirisha Lisu kumbe baba wa watu alitumia tu Mali kauli ! Kiongozi wabunge huyo aliyedhamiria kuuwa mtu kwa rungu wakati wa kampeni ! Jamani tuachwe na sisi tu toe ya moyoni,hii ipo kikatiba msituletee wasiojulikana kwa kutumia haki yetu ya kujieleza ! Ammmah ! Sasa hivi haruhusu tena watu kumuombea Lisu ili kuthibitisha nia yake yakutaka Lisu afe,na hatapewa tiba za kibunge kama wabunge wengine,kwakua anachotaka yeye ni Lisu kufa ! Wewe masihi wa kuzimu,kama risasi haikugusa kichwa cha Lisu na hajafa mpaka leo kwanini usiamini uweza wa Mungu ktk hili,na ukatubu,na kuiunganisha tena nchi watu wapendane na kusaidiana kama hapo mwanzo ?nchi imesambaratika kiasi kwamba huhitaji hata kuelezwa,unaona tu kwa macho yako.Mungu nakusihi,asiyependezwa na umoja wetu wananchi mkatae Nawe asiwe na umoja nawe kati ya uliowakusanya katika umoja wa upendo /kupendana.kwakua upendo ndiyo amri yako iliyo kuu.mfedheshe dunia yote ubaya wake ukaenee malango yote ya dunia kwa alama ya damu ya Lisu,asikubalike hata ardhini atakaporejea mwisho wa uhai ukimfika,Amen.