Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye jnaota kitambi tu anajua hiloMtwara kampuni zinazohusika na uchimbaji gesi zinaondoka kwa kasi ya ajabu sana,mtwara sasaa ni kilio, watu wanatazama tu usoni na kuwaangalia wazungu wakifungasha mabegi na mitambo kwenda nchi nyingine
Unpredictable government policy
Yeye jnaota kitambi tu anajua hiloMtwara kampuni zinazohusika na uchimbaji gesi zinaondoka kwa kasi ya ajabu sana,mtwara sasaa ni kilio, watu wanatazama tu usoni na kuwaangalia wazungu wakifungasha mabegi na mitambo kwenda nchi nyingine
Unpredictable government policy
Hakuna asiyejuwa,wote tunajua.
JPM ndani ya muda mfupi amekirudishia heshima Chama,hata kama inapatika kwa Mkono wa Chuma
Mkono wa chuma duu nashukuru unalijua hiliHakuna asiyejuwa,wote tunajua.
JPM ndani ya muda mfupi amekirudishia heshima Chama, hata kama inapatikana kwa Mkono wa Chuma ila imetusaidia!
Watu tulikuwa tukipita Kariakoo tunazomewa, ila sasa ni full saluti.
Ila kwa ujinga huu wa DC, RC na watendaji wa Rais, nina hofu tutaanza kukimbizwa kwa mawe!
JPM usipoteze heshima ya Chama uliyorudisha ndani ya miaka miwili baada ya JK kuipoteza ndani ya miaka kumi.
Ebu deal na watendaji wako Chamani na Serikalini hatutaki kuitwa vilaza tena kama 2015 kurudi nyuma!
Kwako wewe unaona ni sawa tu! Zama za kudharau mamlaka zimepitwa na wakati!Hahahahaha nimecheka kwa sauti,umesemakweli hapo kwenye picha ndo nimecheka sana,nikikumbuka mdada mmoja aliukumiwa kisa kasema kua,akiona Picha ya magufuli siku aiendi vizuri kwake.