Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Ccm wana roho ngumu sana jambo lipo wazi kabisa hili afu raisi anazunguka mbuyu wata muelewa wapambe wake kina bashite tuu.

1.5 tunaziitaji siyo kutishia watu.
 
....anaefuga wezi nae anaitwaje!
 
nadhani rais jana aliteleza.alipaswa kuliagiza bunge lifanye uchunguzi wa kina juu ya tuhuma hizi za upotevu au kutoonekana 1.5 trilion kwenye matumizi ilhali kwenye makusanyo ipo. kitendo cha rais kuwatisha waliotoa tuhuma ni makosa.
 
Kaondoa wezi wa awamu ya nne. Sasa kaweka wa kwake. Ndiyo mfumo wa serikali za Afrika. Hakuna jipya.
Hakuna bana matumizi tena. Ni ufujaji mkubwa. Hakuna mawaziri tena. Anaongoza wizara zote.
 
Unajua accrual accounting concept inayotumiwa na serikali as against cash basis accounting concepts? Ukijua dhana hizi na tofauti zake kwenye uhasibu utagundua kuwa Ripoti ya CAG iko sahihi na wala hakuna pesa iliyoibiwa. Usipojitahidi kuelewa mwenyewe utaendelea kuwa mtumwa wa wapotoshaji milele.
 
Leo nimekubali Tanzania ina bahati ya kumpata Raisi anayependa kuiona ikibadilika na kuwa bustani yenye amani na furaha.
Nimemfuatilia kipindi chote anapofanya teuzi mbalimbali na kugundua yeye MH. JPM anamtazamo chanya Ila watendaji Ndio wanaomwangusha. Hongera Sana Uncle HON. JPM kwa juhudi zako za dhati.
Upande wa majeshi umezungumza jambo lenye hekima Sana la usawa na sisi raia tumekuelewa Vizuri Sana. Kabla Hujamaliza mda wako yafanye yafanane kimasilahi na katika swala la mavazi ili kuepuka ufisadi na uchakachuaji ukichagizwa na ongezeko la mavazi feki yanayoaibisha majeshi yafanye yatumie Hata vazi Moja watofautiane kofia tuu. Mfano jeshi la magereza hadi huruma maana hadi Leo huwa sielewi Rangi halisi ya vazi Lao. Ni aibu Sana kwa Kweli.
Nakupongeza tena Endelea na kasi hiyo hiyo mtukufu Toka kwa Mungu mheshimiwa raisi Dr. John P Magufuli.... Hongera Sana.
 
Kwako mh Rais ,tumehama chama na kujiunga na ccm kukuunga Mkono kwa juhudi zako za kuwaletea wananchi maendeleo

Tunakusifia kila siku mh kwenye midahalo nje na ndani kwenye vyombo vya habari

Mbona wale waliokuwa madiwani na wabunge,mnawapa nafasi ya kugombea na wanashinda wanarudi tena?,sisi ambao hatukuwa na nafasi mh tupeni angalau ukuu wa wilaya

Tupo wengi mheshimiwa ,Akina Kafulila,Machali,Katambi na wengine wengi,tuonee huruma mkuu

Tupo wengine tunaandika makala za kukutukuza mkuu,Tupo akina Muro na Le mutuz

Na wengine kila siku tunakuandika front page ya magazeti yetu mh
Kama Tanzanite na Jamvi la habari mbona tunakusifia kila kukicha mkuu

Mkuu tunaomba uteuzi wako ,tumechoka kusakamwa

Rais amteua Anamringi Macha kuwa mkuu wa wilaya Kahama
 
Kwa hiyo huna uzalendo ndani ya chama Na nchi unabwata humu ili uteuliwe? Uzalendo ni zaidi ya maslahi binafsi unatakiwa kuweka chama Na nchi Na serikali ya chama chako mbele jua liwake mvua inyeshe uwe mtu wa kawaida au Na cheo uwe Na ajira au la uwe unajulikana au hujulikani
 
Wacha kutema makohozi wewe
 
Itakufa na njaa
 
KILAZA KTK UBORA WAKO
 
Uzi huu tutautumia kumtania kumkosoa na kumshauri rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania tunaamini Uzi huu maadam umetaja jina rasmi LA rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania basi kila kitakacho ongelewa humu kitamhusu yeye kama rais na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
Malengo yawe ni kutoa nyongo zetu kwa utani na kukosoa serikali kwa staha na heshima zingatia yafuatayo ukitaja jina LA rais au cheo chake ukiweka jina LA Tanzania hapo epuka utani wa kijinga maana utakuwa umekosea mfano

Ukimtaja raisi kwa jina lake halisi epuka utani

Ukiitaja nchi ya jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na jina LA mh rais acha utani

Ila nje na hayo kosoa na Tania upendavyo

Lengo ni kutoa nyongo na sumu maana binadamu tumeumbwa hivyo sasa jpm sio mungu wala malaika kwahiyo asizuie watu kusema na kutoa nyongo

Mwisho.
Epuka kutaja jina rasmi LA rais na nchi pamoja na maneno yafuatayo

Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama

Hayo maneno yasiwemo kwenye post yeyote iwayo

Mods : kama sheria hazitakidhi au kufwatwa futeni Uzi huu:

Superburg : Rome Italy
 
You’re putting yourself within the range of an AK-47 Hakuna Freedom of speech si kwa nchi za Kiafrica tu, hata kwa huko wenyewe; Russia included!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…