Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
hapo wewe ndo umenishauri kitu ambacho ndo nilikuwa nawaza. na huu ni ujumbe au ushauri kwa taifa. ninaomba waandishi wa habar mfike sasa na huku Kilombero Kuna Mambo Mazuri Sana

sijakuelewa tena.........
 

ila mwigulu unamuonea jamaa kwa kazi anajua! labda ongea yake, but ni bora kuliko ata makamba
 

Mkuu,

Mimi sitaji majina ila nataja vigezo vikuu 2: Chonde chonde Rais Magufuli usiwateue wafanyasiasa-political careerists ambao wanadhani siasa ni ajira. Kama utalazimishwa na Chama, basi wawe wachache sana ili kuondoa nuksi. Sana sana teua wapigania mabadiliko, ambao kwao siasa ni njia ya kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya Watanzania walio wengi-siyo kujinemesha wenyewe pamoja na familia zao, marafiki nk. Wapigania mabadiliko wawe vijana, wazee, au wanawake wanaweza kukusaidia kufikia ahadi zako!
 
ila mwigulu unamuonea jamaa kwa kazi anajua! labda ongea yake, but ni bora kuliko ata makamba

mwigulu na makamba wanajulikana kwa kusaka urais, watakuwa sehemu ya kutengeneza mitandao ya kuingia ikulu badala ya kutumikia wananchi
 
Wana Jamvi..
Namwomba rais JPM afanye mabadiliko pale kwenye ofisi yake maana kuna baadhi ya watendaji pale wakati wa JK walishaona ikulu kaa Mali yao. Mmoja wapo wa kumwondoa ni Salva Rweyemamu.
Nawasilisha.
 
Salva hawezi kuondoka nasikia ana hisa Ikulu.
 
Wana Jamvi..
Namwomba rais JPM afanye mabadiliko pale kwenye ofisi yake maana kuna baadhi ya watendaji pale wakati wa JK walishaona ikulu kaa Mali yao. Mmoja wapo wa kumwondoa ni Salva Rweyemamu.
Nawasilisha.

Huyo atafute kazi nyingine atapigwa chini tuu
 
Wanaondoka wote, mkuu usihofu ngoja kwanza baraza la Mawaziri litangazwe
 
Khaa!! Huyo mungu wako yaani anamuogopa Magufuli hadi kaona akutume wewe Illovo? 😎
 

Mh! Sitaki kuamini hebu nisubiri nimskie live akiongea
 
Msiwe na wasiwasi na kiingereza chake. Atapata walimu pale pale ikulu atakuwa vizuri tu. Aweke juhudi!
 
Sera ya ubinafsishaji no Sera ya CCM magufuli hana ujanja Wa kuikwepa Na kufufua viwanda au kujenga sio rahisi dunia ya Leo hakuna serikali inayojenga viwanda no wawekezaji mkuu suala la ajira sahau
 
Mwigulu atarud tena wizara ya fedha. Na apewe uwazir kamili atawanyoosha. Kasi ya Mh. Rais anaiweza na yeye yuko vizur. hzo chuki za majibu mabaya ni nyie tu. kiutendaji yuko poa.

Mwakyembe, unakosea saana kusema hajafanya kitu katka wizara zake. waulize wa uchukuzi. pale bandarin na Airpot watakufahamisha vizur. kaleta mpaka treni Dar kurahisisha usafir wa kwenda mjin. umesahau mgogoro wa wabongo kwenda kupokea wageni Jommo Kenyatta airpot?? alimalizana nalo hilo tatzo siku chache alipotua wizara ya EA.

Muhongo yuko vizur. alitoa majibu ya ukweli na Hakutaka kupundisha katika swala la gesi hasa upatikanaj wa vitalu.

hao watatu hapo juu mie sion anawaachaje katika baraza lake kwa mfano!!!...
 
... serekali miaka hii ijenge viwanda? what a dump! China na Cuba pamoja na ukomunisti wakishaacha long.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…