Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
UKAWA punguzeni munkari msije mkapatwa na shinikizo la damu.

Huyu Mgufuli huyu, kweli anawanyima watu raha kupita kiasi.

Kwa kweli wanaumia haswa
 
Maneno ya mkosaji, mwache ajiliwaze kwa machungu kisha atatulia mwenyewe
 
viongozi wa ccm wanaposema mafisadi wao wanamaana ya viongozi wa vyama pinzani ukiwa mwana ccm hata uibe vipi wewe sio fisadi labda uamie chama kingine
 
Watasema sana mwisho watachoka! Magufuli ndiye Rais wa JMT, kama hutaki kanunue kamba aina ya KUDU ujinyonge au thiodan.
 
Kati ya watu ambao hawatabiriki ni wananchi wa Kigoma sijajua ni sababu gani iliyowafanya wawache wabunge mahiri ambao wameshiriki katika ujenzi wa miundombinu ktk mkoa wa Kigoma na kupiga vita ufisadi. Japo naamini Kafulila hawezi kupata ubunge kupitia nafasi za Rais bado mchango wake unahitajika kupitia platform nyingine
 
Walio chaguliwa wanatosha, kwanza wale jamaa c wanasega wanaorodha yamafisadi ni Muda wao sasa kuitoa
 
najua kwa mujibu wa katiba ya Nchi najua una viti kumi vya rais. naomba sana umteue kafurila Kuwa mbunge ili dhamira ya kupinga ufisadi ifanyike kwa vitendo pia atakusaidia kukamata majizi na mafisadi yaliyotufikisha hapa na pia imani yako kwa watanzania itaongezeka maradufu
Unafikiri Kafulila ni mbunge pekee anaye pinga ufisadi? Mbona wako wengi? Kafulila ameshindwa ubunge kama ana hoja za ufisadi na ana ushahidi anaweza kuendelea kusema hata akiwa nje ya bunge au anaweza kuwakabidhi wenzake wanao kwenda bungeni!
Si lazima aende bungeni...
 
najua kwa mujibu wa katiba ya Nchi najua una viti kumi vya rais. naomba sana umteue kafurila Kuwa mbunge ili dhamira ya kupinga ufisadi ifanyike kwa vitendo pia atakusaidia kukamata majizi na mafisadi yaliyotufikisha hapa na pia imani yako kwa watanzania itaongezeka maradufu

kafulila yule alienda kumpa tafu lowasa au mwingine
 
Ukawa hawatambui Ushindi wa Magufuli so hawawez kukubali!! Kubenea, Lissu, Sugu, Mbatia, Mbowe,Mnyika wote wapo usihofu na PAC ya Zitto kabwe ipo kama kawaida
 
Kafulila huyu huyu aliyekuwa anasafisha mafisadi kwenye kampeni??
 
Hii miluzi imekuwa mingi sasa.
Achukue lipi aache lipi.
Hebu tumuacheni mzee wa kazi afanye kazi.
Kwani hizo alizofanya jana mlimpangia aende wizara ya fedha au aliyofanya Leo kukutana na makatibu wakuu mlimpangia.
Mwanzo mlisema hafai Leo mnaanza kumshauri.
Basi mngegombea ninyi huo urais mkatekeleze hayo mnayoshauri.
 
Kwani ni Kafulila pekee ndiye mbunge wa kuibua ufisadi? Tunao wengi tu humu ndani ya CCM. Kwanza nani huyo asiyejipenda afanye ufisadi kwenye serikali ya Dkt Magufuli? Atakuwa na moyo wa chuma huyo mtu.
 
Magufuli hawezi kuteua mtu anayesujudia mafisadi..hapo ndo alipopoteza mvuto 👇
 

Attachments

  • 1446917153196.jpg
    1446917153196.jpg
    43.5 KB · Views: 718
Sera ya ubinafsishaji no Sera ya CCM magufuli hana ujanja Wa kuikwepa Na kufufua viwanda au kujenga sio rahisi dunia ya Leo hakuna serikali inayojenga viwanda no wawekezaji mkuu suala la ajira sahau

Hukumsikiliza vizuri.
Alichosema serikali itaweka miundombinu na kuondoa urasimu ili kurahisisha uwekezaji wa viwanda hivyo uwekezaji ktk viwanda utaongezeka
 
Huyu Premi Kibanga afurushwe.

Kama msemaji wa rais ni lazima awe mwanamke basi pale awekwe mwanamama mpiga kazi Joyce Mhaville.

Katibu mkuu kiongozi aangalie kama atamfaa au la! Nahisi haendani na speed yake.
 
Mnataka agombezwe na waliompa kazi? JK na BM ndio waliohakikisha huyu kijana harudi mjengoni na hao wakasema JPM abebe mikoba kwa sharti la "sitawaangusha" halafu leo mnataka akiuke maagizo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom