Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
japo utatekwa lakini utakumbukwa kwa msimamo wako imaraMimi binafsi huwa najiulizaga sana, ningekua ni mimi mwendesha misa ukifika muda wa kula mkate wa bwana hapewi alafu nampa makavu kama mbwai bwai tu.
...nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Hivi wale wazungu waliokuwa wanaongea na Lissu ni wafadhili au ni mabeberu? Samahi lakini naomba majibu kiongozi...Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati huohuo maskini akilazimika hata 'kumwaga maji' ili kujipunguzia chances za tezi dume au tension za maisha kanisa linamtenga hadi atakapotubu na kukiri makosa yake mbele ya waumini. What a hell is it?Halafu kuna nyumba za ibada zinaruhusu watu hawa kuingia na kupakwa majivu !
Habari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Habari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Unatumia makalio kufikiri??Siku ukipewa taarifa kuwa waliomshughulikia Lissu ni jamaa wa karibu nae, nadhani utafuta kauli yako hiyo ya hapo juu.
Muovu hata akiwa na madaraka gani hujulikana tu kwa kumsikia na kumuona
Aingilie mara ngapi?? kwani hilo la kuzuia mshahara wake limetoka wapi??Kama noma na iwe noma!!! Acha iwe doa kwani Magufuli anaingiaje hapo???
Kuna malalamiko kila siku kwamba serikali inaingilia masuala ya bunge na mahakama!! Leo unatak Rais afanye nn??? Kama watu wanaimani hizo basi hakuna wa kubadilisha hata ingekuwaje!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo umeamua wote tuende na hisia zako? Basi sawa.Aingilie mara ngapi?? kwani hilo la kuzuia mshahara wake limetoka wapi??
Unadhani bunge linaweza kuzuia?? kwa sheria ipi?? mbona kimya kimya??
Yote yamefanyika kwa order za Jiwe mwana wa ibilisi.
Nasikia kuna safari ya China , na atapanda ndege zetu pendwa hizi hiz kama ile Ethiopian . Eeeh Mungu muumba mbingu na dunia twakuomba akipanda tu fanya kama ile ya Ethiopian airline .Lissu arudi kwao Singida akawatumikie waliompigia kura
Mbunge wa Siha aliweka kila kitu hadharani tena ndani ya ukumbi wa bunge, kama na yeye anatumia makalio basi wewe unalo faili pale Milembe hospital.Unatumia makalio kufikiri??
Taja tusi hata moja nijitoe JfUnamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Awe au asiwe Mastermind, lazima aliangalie hili, vinginevyo aache kukanyaga milango ya Kanisa huku akionyesha ukimya wenye dalili za ukatili wa aina hii kwa Lisu. Watanzania si wajinga kwamba hatuoni kuwa Rais ameruhusu Lisu anyanyaswe!!!Huyo unayemwambia ndio mastermind wa kila kitu .
TUTAMCHANGIAUKIONAVIPIJINYONGEFASTATENAKWAMANILAILIUFEHARAKA.Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
SureHabari wakuu,
Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.
Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.
Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?
Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.
Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.
Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Duh!Naomba serikali iendelee na misimamo yake mikali dhidi ya watu aina ya Lisu.Kama kila anayejaribu kumpinga lisu ni lzm atukanwe basi ni hatari. Hakuna mtu yyt duniani aliwahi shindana na serikali na akashinda. tayari lisu ni MALAIKA huko ufipa,siku lisu akifanikiwa kuifanya serikali isalimu amri au awe Rais NITAJIONDOA JF.