Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
...nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.

Madikteta hubaki madarakani kulinda usalama wao juu ya maovu waliyotenda na si kwa mapenzi ya nchi. Taratibu za nchi kustaafu zitaongezwa muda usiokuwa na kikomo.
 
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wale wazungu waliokuwa wanaongea na Lissu ni wafadhili au ni mabeberu? Samahi lakini naomba majibu kiongozi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Usiichanganye serekali na nchi pls
 
Halafu kuna nyumba za ibada zinaruhusu watu hawa kuingia na kupakwa majivu !
Wakati huohuo maskini akilazimika hata 'kumwaga maji' ili kujipunguzia chances za tezi dume au tension za maisha kanisa linamtenga hadi atakapotubu na kukiri makosa yake mbele ya waumini. What a hell is it?
 
Habari wakuu,

Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.

Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.

Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?

Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.

Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.

Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.

dj yusuph
" maisha mazuri yapo mbele kwa mbele...mbeleee mbeleee
bongo kazi gani nzuri labda uchimbe kokote"
hii nyimbo nikisikiliza ndipo najua bongo unatakiwa kuwa na roho mbaya
 
Habari wakuu,

Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.

Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.

Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?

Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.

Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.

Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.

Wanaamini wataishi milele kwao hizi ni kelele sawa na ngojera
 
Muovu hata akiwa na madaraka gani hujulikana tu kwa kumsikia na kumuona

Ukitaka kujua MTU muovu tazama macho yake yamejaa hatia mda wote hana nuru, kama alivo ticha wa mzee meko chief nanga wa ikemefuna ana kila kitu Lkn kakauka sababu ya roho mbaya ya uuaji na kunywa damu za watu.
 
Kama noma na iwe noma!!! Acha iwe doa kwani Magufuli anaingiaje hapo???

Kuna malalamiko kila siku kwamba serikali inaingilia masuala ya bunge na mahakama!! Leo unatak Rais afanye nn??? Kama watu wanaimani hizo basi hakuna wa kubadilisha hata ingekuwaje!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Aingilie mara ngapi?? kwani hilo la kuzuia mshahara wake limetoka wapi??
Unadhani bunge linaweza kuzuia?? kwa sheria ipi?? mbona kimya kimya??
Yote yamefanyika kwa order za Jiwe mwana wa ibilisi.
 
Aingilie mara ngapi?? kwani hilo la kuzuia mshahara wake limetoka wapi??
Unadhani bunge linaweza kuzuia?? kwa sheria ipi?? mbona kimya kimya??
Yote yamefanyika kwa order za Jiwe mwana wa ibilisi.
Kwahiyo umeamua wote tuende na hisia zako? Basi sawa.
 
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Taja tusi hata moja nijitoe Jf
Kuwa muungwana utaje tusi alilotukanwa Rais au nchi !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo unayemwambia ndio mastermind wa kila kitu .
Awe au asiwe Mastermind, lazima aliangalie hili, vinginevyo aache kukanyaga milango ya Kanisa huku akionyesha ukimya wenye dalili za ukatili wa aina hii kwa Lisu. Watanzania si wajinga kwamba hatuoni kuwa Rais ameruhusu Lisu anyanyaswe!!!
Huwezi kuwa na dhana zako halafu ulazimishe wengine wote waifuate. Mbona kwenye kura hakulazimisha sote tumpe!!!?
 
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
TUTAMCHANGIAUKIONAVIPIJINYONGEFASTATENAKWAMANILAILIUFEHARAKA.
 
Habari wakuu,

Nimejaribu kufikiri sana juu ya wema alionao rais magufuli kwa wananchi wake na watanzania kwa ujumla, nikawaza pia na najua ipo siku rais magufuli na awamu yake wata staafu pia kama ilivyo taratibu za nchi yetu.

Mh Rais inawezekanaje mbunge kapigwa risasi waliompiga hawajulikani hadi leo?, kama haitoshi pesa ya matibabu kanyimwa kwa hoja za ajabu ajabu na zilizojaa dharau na kiburi cha madaraka, amejaribu kupambana na stahiki zake amenyimwa sasa.

Ni Mungu yupi mnaye mwabudu?, ni mioyo ipi mlionayo?, ni watanzania wapi manohubiri kuwatumikia??, mnadhani watanzania upole wao ni ujinga wao??, Lisu amefanya nini hadi mumtende hivi?

Ingilia kati mh rais , maliza hili swala kwa busara na kumwogopa Mungu mnayeenda makanisani kila siku kumwabudu, dhambi hii haitawaacha salama kamwe, hata kama siyo leo hata miaka ya badaye mtajutia unyama huu, hata kama siyo nyinyi hata vizazi vyenu vya nne vitajutia.

Najiuliza mnapoudhuria misiba huwa mnajifunza nini au mnawaza nini? , hamtakuwa waheshimiwa milele ipo siku mtaitwa marehemu na vyoote mtaviacha.

Inauma sana kuona binadamu mwenzio anonewa kiasi hiki . Limalizeni hili swala waheshimiwa maana ipo siku mtatakiwa kujibu kwa lazima.
Sure
 
Duh!Naomba serikali iendelee na misimamo yake mikali dhidi ya watu aina ya Lisu.Kama kila anayejaribu kumpinga lisu ni lzm atukanwe basi ni hatari. Hakuna mtu yyt duniani aliwahi shindana na serikali na akashinda. tayari lisu ni MALAIKA huko ufipa,siku lisu akifanikiwa kuifanya serikali isalimu amri au awe Rais NITAJIONDOA JF.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom