Nikupe pole kwa Majukumu uliyonayo. Pia Shikamoo! Ni kaushauri kadogo tu asubuhi ya leo ningependa kupendekeza. Unao Vijana watatu ambao Mimi Binafsi nawaona Kama watu ambao ulipatia kuwateu kukusaidia. Nakuomba uwape majuku makubwa zaidi, kwa kiwango walichokionesha, wanastahili kukusaidia katika Majukumu makubwa zaidi. Vijana Hawa watatu Ni:
1. Anthony Mtaka (RC-SIMIYU), kwakweli Ni mtu anaejiamini, mbunifu, mtu wa kutafuta fursa za kimaendeleo kwa ajili ya Wananchi wa Mkoa wake. Atatufaa zaidi hata tusio wa Mkoa wake.
2. Jokate Mwegelo, Young and Ambitious, ameonesha alivyo mbunifu, ameamua kufanya kazi tofauti na wengine ambao kazi Yao Ni kukuimbia nyimbo za kukusifu na kukuabudu.
3. Godwin Gondwe. Amekuwa msaada Mkubwa Sana kwa Wananchi wa Handeni. Amehamasisha kilimo Cha mihogo, shughuli za Maendeleo na Mambo mengi ambayo Ni positive.
Ni hao TU muheshimiwa, na nakuhakikishia, HAWATOKUANGUSHA. Ila kaombi kengine kadoooogo, pale Hai huna Mkuu wa Wilaya, una MUHUNI NA KILAZA(sijui walikupa vigezo gani umteue?).
Sent using
Jamii Forums mobile app