Papaa_Mobimba
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 208
- 377
Mam samia akiingia madarakani. Kitu cha kwanza anachotakiwa kukifanya ni deni la HESLIB.
Yani kila siku zinavyoendelea ndivyo unavyoona watu wanatambua mambo na kujua kwamba "Watanzania si wajinga" hata kama "Kuna Watanzania wajinga".Mazingira yanaonyesha kuwa Lissu alishambuliwa kwa amri.
Kwani niliandika kwamba watu wafungue kesi kwa sababu mtu kakataa kuwaajiri?
Wapi niliandika hilo?
Na zaidi. Mtu anaweza kufungua kesi kwa sababu kakataliwa kuajiriwa kinyume cha haki.
Kwa mfano. Mtu katimiza vigezo vyote, kapita usaiki vizuri, kazi ya serikali inasema ninkazima mtu apite usaili.
Halafu akatuowa, akaajiriwa mtu ambaye hata usaili hajafanya
Hapo mtu ana haki yabkufungua kesi kwa shauri la kuachwa kuajiriwa.
Wavivu na wazembe.Hao wanaomuombea mabaya ni wapiga deal tu na wametumwa na mabeberu.
Yani kila siku zinavyoendelea ndivyo unavyoona watu wanatambua mambo na kujua kwamba "Watanzania si wajinga" hata kama "Kuna Watanzania wajinga".
Ukishaanza kuongea habari za nchi kumuhumitaji mtu, mpaka hapo usha fail tayari.Kila zama na kitabu chake...
Tanzania ilimuhitaji Magufuli kwa wakati huu, na ndio wakati uliokubalika...
Hivi mbona ni kama tumesahau namna kila mmoja wetu alivyokuwa akimuomba Mungu wake tupate Rais anayekaza kidogo kuliko JK na waliopita?
Kuna wengine hadi tukadiriki kusema tunahitaji Rais dikteta (kwa maana ya mbabe), atayepatikana kwa njia za kidemokrasia, aje atunyooshe na aache alama itayobakia kuwa muongozo kwa marais wataokuja...
Sasa yule mtu tuliyekuwa tukitamani aje awe tofauti na waliotangulia ndio huyu kaja, hebu tuwe wastahimilivu wakati tukiendelea kuishi ndani ya kile tulichokitaka...
Hapa umeshindwa kujibu hoja na umekimbilia katika obfuscation.You should read between the lines: kama huezi kusoma na kuelewa useme
Hapa umeshindwa kujibu hoja na umekimbilia katika obfuscation.
JF hatuna daftari kenye mistari.
Sasa nisome kati ya mistari gani?
Daaah jana nilikua nafanya kazi ya kuswitch mda wote from jf to twitter and vice versa aiseee haters wa boss ni wengi sana mitandaoni
Ukishaanza kuongea habari za nchi kumuhutaji mtu, mpaka hapo usha fail tayari.
Nyerere alivyokuwa katika mkutano na waandishi wa habari Kilimanjaro Hotel, kuelekea uchaguzi wa 1995, wakati huo Mrema yuko juu, waandiahi walikuwa wanawashwa sana kumjadili Mrema.
Nyerere akawapa kanuni kubwa sana waandishi wale. Akawaambia mimi sipo hapa kumjadili mtu, nipo hapa kujadili sifa za uongozi. Kama mnataka mjadala wa mtu niambieni nigeuze safari kurudi nyumbani.
Alielewa. Ingawa Mrema alikuwa juu sana kuelekea uchaguzi wa 1995, kwa sasa Mrema ni kichekesho
Nyerere alielewa kwamba unavyozidi kujadili mtu, ndivyo unavyozidi kujifunga kwenye udogo. Ukitaka kujadiki kwa uoana, jadili kanuni.
Tujikite kwenye kujadili dhana, mijadala ya kuwaangalia sana watu badala ya dhana itatufilisi kisiasa na kiuchumi.
Man, nimeongelea suala la utamaduni wetu wa uzembe na uvivu wa kuwaombea mabaya viongozi wanaotulazimisha kufanya kazi kwa bidii. BTW Hilo la kusema ''wananchi'' kumwombea rais mabaya ni hisia. Tanzania ina zaidi ya wananchi milioni 55 na hawa walio kwenye matumizi ya mtandao ni wachache sana.
Watu wanakataa bure tu, lakini hawa wa mitandaoni ndiyo reflection ya hali halisi kwa ujumla wake....
Kinachomponza Bwana Magufuli kwa ujumla ni kutawala watu kwa MAGUVU tu huku akiwa ameitupa BUSARA na HEKIMA ndani ya shimo la choo....!!
Jamaa si MVUMILIVU, hana BUSARA wala HEKIMA....
Kuna ishu zingine zinahitaji maamuzi ya HEKIMA na BUSARA tu lakini yeye utamwona anaripuka mithili ya volcano huku akidhani kuwa ametatua tatizo hilo lakini hali halisi ikiwa kinyume chake.....!!
Kuji - mwambafai siku zote hakujawahi kuishinda BUSARA na HEKIMA. Tabia hii si ASILI ya Mungu aliyetuumba bali ni tunda la roho wa shetani.....
Sasa mtu mmoja akifariki ghafla, na hakuna mfumo endelevu, itakuwaje hapo?Mkuu bahati mbaya sana siasa za Afrika hazitoi mwanya kwa mfumo kushika hatamu, halafu mtu anayekuwa kiongozi afuate misingi ya mfumo uliopo...
Mifano halisi ni namna wagombea wa ngazi mbalimbali za kupigiwa kura wanavyopatika sio upinzani sio chama tawala...
Kilichobaki na ambacho kimekuwa kikifanyika ni kutafuta watu wenye visions zao binafsi, wanakaimishwa uongozi...
Yaani nchi za kiafrika zimekuwa kama timu inayotegemea mchezaji fulani awepo uwanjani...
Hao unaowaita wanaelewa walishawahi kuifanyia nini nchi hii cha kustua zaidi ya kupiga?Kinachoendelea hivi sasa inabidi kiwe funzo kwa Rais J.P Magufuli!
JK alipoleta msamiati wa "kujimwambafai" tu, mitandao ikaripuka kwa vigelegele! Magazeto karibu yote yakaifanya habari hiyo kuwa ukurasa wa mbele!
Si tu kwa mstari wa mbele, lakini karibu yote yaliashiria kana kwamba huyo aliyeambiwa aache kujimwambafai ni JPM!
Hata wana-CCM wenyewe, kama vile Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ali Hapi, nae akaamini kabisa anayeambiwa aache kujimwambafai ni Rais Magufuli!
Kwanini hadi wana-CCM na wenyewe waamini JK kamsema Magufuli wakati yeye alisema Viongozi waache kujimwambafai?!
Lau kama kauli ile ingetamkwa na Mkapa wakati JK yupo rais, sidhani kama wananchi wangemshuku JK kwamba ndie anajimwambafai!!
Sasa kwanini JPM ionekenane ndie anajimwambafai?! Kumbe hata wana-CCM wenyewe wanafahamu kwamba Magufuli anajimwambafai!
Limekuja hili sasa!
Hivi sasa zinapoonea habari juu ya afya JPM, bila kujali kama ni za kweli au za uongo, kwa mata nyingine, mitandaoni kumeibuka shangwe, huku wengine wakisema wazi "...atangulie safari ya milele!"
Hata wakati JK alipoenda kutumbuliwa tezi dume, sidhani kama waliokuwa wanamuombea arudi akiwa kwenye sanduku walikuwa ni wengi namna hii!
Sasa ikiwa hadi wananchi anaowaongoza miongoni mwao kuna wanaouuombea afe, basi hilo ni tosha kumfanya ajitafakari unless!!
Generally speaking, kwa Tanzania inaonekana jamii iliyopo Mtandaoni ndio jamii yenye uelewa zaidi, hususani walio Jamiiforums na Twitter!
Kwa maana nyingine, miongoni mwa wale wanaoonekana kuwa na uelewa zaidi, watafanya sherehe wakisikia rais wao ame-rest in peace!!
Na ukweli ni kwamba, ni mpumbavu na punguani tu ndie anaweza kudiriki kusema hawa wanaomuombea JPM mabaya ni mafisadi! Hao mapunguani tayari tumeanza kuwasikia wakiongea hizi kauli za kipunguani!
Mkuu bahati mbaya sana siasa za Afrika hazitoi mwanya kwa mfumo kushika hatamu, halafu mtu anayekuwa kiongozi afuate misingi ya mfumo uliopo...
Mifano halisi ni namna wagombea wa ngazi mbalimbali za kupigiwa kura wanavyopatika sio upinzani sio chama tawala...
Kilichobaki na ambacho kimekuwa kikifanyika ni kutafuta watu wenye visions zao binafsi, wanakaimishwa uongozi...
Yaani nchi za kiafrika zimekuwa kama timu inayotegemea mchezaji fulani awepo uwanjani...
Nani kasema hakuna mfumo? Alifikaje huyo moja kama siyo mfumo uliomweka? Mmekula ya wapi?Sasa mtu mmoja akifariki ghafla, na hakuna mfumo endelevu, itakuwaje hapo?
Umefuatilia mjadala au unarukia tu?Nani kasema hakuna mfumo? Alifikaje huyo moja kama siyo mfumo uliomweka? Mmekula ya wapi?
Tupo wengi sana na bado tunaendelea mpaka generation nne zijazo kuzika kabisa nia yeyote ovu kutoka kwa yeyote...
Dar, ilikikataa chama cha mapinduzi, mikoani walikikubali chama cha mapinduzi.Kwani Tanzania inaongozwa na watu walio vijijini? Tanzania inaongozwa na watu walioko mijini, hao wa huko vijijini wao wanaburuzwa tu. Sasa kama mtu anauza gunia la viazi 45,000, mtu aliyeko mjini anapata 300,000 kwenye hilo gunia kwa kuuza chips huyo si wa kuburuza tu.