Mimi magufuli nishawahi kumtukana uso kwa uso nakuambia live !
Ndio maana magufuli huyu huyu unaemjua wewe mimi ni rafiki yangu ndio maana siogopi Mambo yake alkasusu mnaijua Leo ila mi nimekunywa nae!! Na nakuambia ukweli magufuli Ni msela !!
Mkuu upo sober kweli au unaongea under the influence of kinda kitu cha Arusha? Hata kama ulikua unakaa nae nyumba moja sasa hivi huyo sio mwenzako, status yake imebadiika so have some respect unapo mu address
Nje ya itifaki ya urais magufuli ni mtu wa watu anaweza tembea popote cc wengine tulikula nae mahindi ya kuchoma usiku kucha mahali fukani mkoa fulani mpk najiuliza huu muujiza mwingine wa magufuli umetokea wapi? Ndio maana nailaumu protokali yake sio yeye!
Magufuli tumekoka nae Moto wa kuni na yeye akipuliza Kama mwanamama na suti yake kainama Kama Bata ndio maana Mimi namuona Kama raia mwema wa Kawaida Sasa yaliyokuja kutokea badae sielewi kwann