Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,417
Mawaziri kutokuwa madereva mimi siafikiani na hilo. Waziri akiendeshwa anawezza kuwa productive hata ndani ya gari, akawasiliana na kufanya mambo mengi zaidi.
Binafsi nnaendessha lakini nimeweka dereva na wakati nipo hata barabarani nnaweza kuwasiliana na kufanya mengi ambayo yanafaida zaidi ya nikiwa nnaendesha mwenyewe. Siku hizi ofisi popote.
Dr. Grace Ndalichako - Elimu
Ludovic uto - Fedha
Anne Kilango - Jinsia na watoto
Barozi amina salum- mambo ya nje
Palamagamba kabudi - sheria
Your wrongKangi Lugola anaweza vaa viatu vya Deo fili (R.I.P)
Changamoto kubwa kwa Magufuli iko hapo!Sio siri kuwa CCM ni chama kilicholea na kuhifadhi ufisadi nchini.
Kupata mtu mwadilifu ndani ya CCM ni sawa na kocha kutafuta wachezaji wa kusajili MOI.
Chama kilihangaika kumpata mgombea urais mwadilifu kikakosa kikabidi kumpata mwenye nafuu kidogo,na kumnadi kwa pesa nyingi za kukufuru, na kufanikuwa kumchagulusha.
Sasa tujiulize huyo waziri mkuu na mawaziri wasio na kashfa ndani ya chama chetu watapatikanaje?
Nimesikia majina yanatajwatajwa lakini yote yana madoa ya ufisadi. Subiri wateuliwe uone jinsi watu watakavyoanza kuweka hadharani madudu yao.