Mheshimiwa Raisi JPM,
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri uliyoanza kuonyesha kwa siku hizi chache baada ya kuapishwa, watanzania wengi tumefurahishwa sana na jinsi unavyoitekeleza kauli mbiu yako ya ''Hapa Kazi tuu''
Mheshimiwa Raisi, Wizara ya ardhi ni miongoni mwa wizara zenye kero nyingi sana hapa nchini.
Kama ilivyo maeneo mengine Tanzania, Sisi wakazi wa Kibamba Dar Es Salaam, kwa muda mrefu sasa tangu 2010 tulipopimiwa maeneo yetu katika kata ya kibamba na tukalipia kwa ajili ya kupatiwa hati, hadi leo hatujapata hati zetu, kila tukifuatilia hatupewi majibu ya maana.Najua kibamba ni mfano mdogo sana wa kero nyingine nyingi za ardhi katika nchi hii, lakini tunaomba kwa kauli mbiu yako ya Hapa Kazi tuu, utusaidie ili watanzania tuweze kumilikishwa ardhi kwa ajili ya maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Naomba kuwakilisha
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri uliyoanza kuonyesha kwa siku hizi chache baada ya kuapishwa, watanzania wengi tumefurahishwa sana na jinsi unavyoitekeleza kauli mbiu yako ya ''Hapa Kazi tuu''
Mheshimiwa Raisi, Wizara ya ardhi ni miongoni mwa wizara zenye kero nyingi sana hapa nchini.
Kama ilivyo maeneo mengine Tanzania, Sisi wakazi wa Kibamba Dar Es Salaam, kwa muda mrefu sasa tangu 2010 tulipopimiwa maeneo yetu katika kata ya kibamba na tukalipia kwa ajili ya kupatiwa hati, hadi leo hatujapata hati zetu, kila tukifuatilia hatupewi majibu ya maana.Najua kibamba ni mfano mdogo sana wa kero nyingine nyingi za ardhi katika nchi hii, lakini tunaomba kwa kauli mbiu yako ya Hapa Kazi tuu, utusaidie ili watanzania tuweze kumilikishwa ardhi kwa ajili ya maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Naomba kuwakilisha