Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 620
- 370
Upuuzi at work, watu wanafikiria maendeleo nyinyi mnawaza majungu tu, hizo jumuiya za kimataifa zingekuwa na meno au ushawishi hali zilizopo sasa Burundi, south Sudan, Congo na kwingine zisingekuwepo,
Hebu punguzeni ujuha, uchaguzi umepita hata mkifanya nini hautarudiwa, muhimu sasa kutazama mustakbali wa Taifa na kutumikia wananchi sio kwenda kuonyeshana ubabe huko,
Mkuu unataka nchi isonge mbele bila haki kutendeka?
Kupinga Ufisadi gani "Unafiki tu".Unapinga Ufisadi halafu unaungana na FISADI LOWASSA.Ongeza na David Kafulila listi ikae vizuri.Ndo mbunge aliyekuwa kinara bunge lililopita.Rais wetu kama ana nia kweli ya kupinga ufisadi amteue kafulila kuwa mbunge.Nadhani rais anamjua vizuri tu jamaa.