Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,538
Wanajamvi,
Mimi ni raia wa kawaida na ninawaona watumishi wa umma jinsi wanavotumia hovyo mali za umma mfano kutumia magari ya umma kwa ajili ya manufaa yao binafsi kama kumpeleka mama/msaidizi wa nyumbani sokoni au hata wakati mwingine magari ya serikali kuwepo sehemu za starehe usiku mwingi pia uharibifu wa miundombinu ambayo inaigharaimu serikali pesa nyingi.
Nimeanza kuvutiwa sana na utendaji kazi wa mheshimiwa Rais na ningependa kutoa mchango wangu ili kusaidia kupiga vita mambo haya yanyoyoligharimu taifa je ninawezaje kupaza sauti naye akanisikia? sina uhakika sana na hawa wasaidizi wake maana baadhi ya wabadhirifu ndio hao hao ambao unatakiwa upitishie malalamiko yako.
Naomba msaada
Mimi ni raia wa kawaida na ninawaona watumishi wa umma jinsi wanavotumia hovyo mali za umma mfano kutumia magari ya umma kwa ajili ya manufaa yao binafsi kama kumpeleka mama/msaidizi wa nyumbani sokoni au hata wakati mwingine magari ya serikali kuwepo sehemu za starehe usiku mwingi pia uharibifu wa miundombinu ambayo inaigharaimu serikali pesa nyingi.
Nimeanza kuvutiwa sana na utendaji kazi wa mheshimiwa Rais na ningependa kutoa mchango wangu ili kusaidia kupiga vita mambo haya yanyoyoligharimu taifa je ninawezaje kupaza sauti naye akanisikia? sina uhakika sana na hawa wasaidizi wake maana baadhi ya wabadhirifu ndio hao hao ambao unatakiwa upitishie malalamiko yako.
Naomba msaada