Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Akihojiwa na shirika la utangazaji la bbc,Nape Mnauye Jipu la kwanza kabisa,aliwahi kusema kuwa ccm hawtaanzisha mahakama ya mafisadi isipokuwa zitatumika mahakama zilizopo,lakini jana bwana Magufuli Mtumbua jipu amesema ataanzisha mahakama ya mafisadi na majizi, hapo utaona jinsi chama kupitia Nape kilivyo na picha tofauti na mtumbua majipu,kweli mtumbua majipu niwa kuombewa sana.
 
Aanze na wale wa escrow maana wale wanafahamika, wanajulikana. Atajizolea maujiko
 
Huyu magufuri yuko vizuri sana
Hofu kwa waliomzunguka kama wataendana na kasi yake.
 
Hahahaaaaaa hahahaaaaaa ataanzisha mahakama kwa kufuata Katiba gani? ila hawa jamaa bhana wana vituko sana sana
 
Hahahaaaaaa hahahaaaaaa ataanzisha mahakama kwa kufuata Katiba gani? ila hawa jamaa bhana wana vituko sana sana

Kufanya marekebisho kwenye katiba kwa maana ya kuongeza Ibara ni nusu saa tu. Ila kubadili katiba nzima ndio miezi.
 
Kufanya marekebisho kwenye katiba kwa maana ya kuongeza Ibara ni nusu saa tu. Ila kubadili katiba nzima ndio miezi.

Hahahahaaa hahahaaa na mahakimu atachukua kutoka wapi? Hawa hawa wala rushwa na wanaohusika kutorosha na kuwapa zamana watuhumiwa?? Hapana hio sio priority kwa sasa, ajenge miundo Mbinu ambayo haitawezesha watu hawa wakubwa wachache kutuibia.
Aanze basi na Escrow na mmiliki wake wa Simba trust.... Lakini pia na yeye asisahau kutoa report juu ya zaidi ya 270bn zilizotoweka kwenye wizara yake kama inavyosema report ya CAG
 
  • Thanks
Reactions: prs
Unajihangaisha bure. Yule ni ng'ombe wa maziwa wa wengine. Watu wanalogana ili tu wachaguliwe kuukimbiza unasema uwekwe stoo. HAUONDOLEWI maadam ccm bado ingali hai. Tena ukifanya mchezo utafanywa zuzu saa hii
 
ndo uchawi wa chama tawala, bado wanaamini mizimu! wakiachana na mawazo ya kishirikina, watafuta mbio za mwenge!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom