Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
Hakuna ubishi kuwa club ya Simba ndiyo club yenye heshima kubwa kimataifa iliyopo hapa nchini.
Kuna jambo halipo sawa katika club yetu, mwaka jana na mwaka huu kuna mambo mawili yametokea ambayo kwa maoni yangu hayakupaswa kutokea.
Ukiyachunguza ni kana kwamba tuna hujumiwa na aliyepewa dhamana.
1. Kuvuja kwa jezi kabla ya siku ya uzinduzi, sote tuliona kilichotokea mwaka jana, jezi zilivuja kabla ya wakati tena zilivuja siku zaidi ya 5 kabla ya siku ya uzinduzi na hili likafanya uzinduzi rasmi usiwepo.
2. Mwonekano wa jezi, kiukweli mwaka jana jezi hazikuwa na hadhi inayo endana na timu yetu, watani walituchapa kwa upande huo.
Mwaka huu tena tumeanza kuona jezi inayo sadikiwa kuwa ni ya Simba kwa msimu huu, kwa maoni yangu nadhani tumshukuru bwana Freddy na tutafute mtu mwingine maana hii ya mwaka huu ni kama mapazia ya chumba cha kuhifadhia maiti.
Tatizo liko wapi? Tunazo rangi nzuri sana nyekundu na nyeupe, tunakwama wapi? inamaana tumeshindwa kupata mbunifu ?
Kuna jambo halipo sawa katika club yetu, mwaka jana na mwaka huu kuna mambo mawili yametokea ambayo kwa maoni yangu hayakupaswa kutokea.
Ukiyachunguza ni kana kwamba tuna hujumiwa na aliyepewa dhamana.
1. Kuvuja kwa jezi kabla ya siku ya uzinduzi, sote tuliona kilichotokea mwaka jana, jezi zilivuja kabla ya wakati tena zilivuja siku zaidi ya 5 kabla ya siku ya uzinduzi na hili likafanya uzinduzi rasmi usiwepo.
2. Mwonekano wa jezi, kiukweli mwaka jana jezi hazikuwa na hadhi inayo endana na timu yetu, watani walituchapa kwa upande huo.
Mwaka huu tena tumeanza kuona jezi inayo sadikiwa kuwa ni ya Simba kwa msimu huu, kwa maoni yangu nadhani tumshukuru bwana Freddy na tutafute mtu mwingine maana hii ya mwaka huu ni kama mapazia ya chumba cha kuhifadhia maiti.
Tatizo liko wapi? Tunazo rangi nzuri sana nyekundu na nyeupe, tunakwama wapi? inamaana tumeshindwa kupata mbunifu ?