Ww umeifanyia nn simba?Simba sio ya kudhalilika hivi
Mi ni yanga lakin haka kajez kazuri bna..jezi ya denmark 1986
View attachment 2309108
Pamoja na yote bado sijaona ubaya wa hiyo jersey, hata kama ndio ingekuwa ya Simba Sc.jezi ya denmark 1986
View attachment 2309108
Huu ushabiki wenu hauwainuwi zaidi ya kuwadharaurisha.Hakuna ubishi kuwa club ya Simba ndiyo club yenye heshima kubwa kimataifa iliyopo hapa nchini.
Kuna jambo halipo sawa katika club yetu, mwaka jana na mwaka huu kuna mambo mawili yametokea ambayo kwa maoni yangu hayakupaswa kutokea.
Ukiyachunguza ni kana kwamba tuna hujumiwa na aliyepewa dhamana.
1. Kuvuja kwa jezi kabla ya siku ya uzinduzi, sote tuliona kilichotokea mwaka jana, jezi zilivuja kabla ya wakati tena zilivuja siku zaidi ya 5 kabla ya siku ya uzinduzi na hili likafanya uzinduzi rasmi usiwepo.
2. Mwonekano wa jezi, kiukweli mwaka jana jezi hazikuwa na hadhi inayo endana na timu yetu, watani walituchapa kwa upande huo.
Mwaka huu tena tumeanza kuona jezi inayo sadikiwa kuwa ni ya Simba kwa msimu huu, kwa maoni yangu nadhani tumshukuru bwana Freddy na tutafute mtu mwingine maana hii ya mwaka huu ni kama mapazia ya chumba cha kuhifadhia maiti.
Tatizo liko wapi? Tunazo rangi nzuri sana nyekundu na nyeupe, tunakwama wapi? inamaana tumeshindwa kupata mbunifu ?View attachment 2309013
Naunga mkono hoja.Haya mambo ya kumpa mtu tenda ya jezi matokeo yake ndy hayo jezi haina mpangilio mzuri wa rangi,bora wangekuwa wanatangaza wazabuni wanaoweza kudesign jezi then wanaangalia nani kadesign uzi mkali kuliko mwingine basi anapewa tenda
Ila kwa staili hii hapana hiyo jez haijakaa poa
kuna fans concepts huwa ni kali nimeona moja ya yanga ile ya kijani ilikuwa kali katengeneza shabiki tu, hata simba last year kuna za mashabiki zilikuwa kali, bafanabafana wao mwaka huu wameamua kutoa open tender mashabiki wana design na vinatoka vitu vikali sanaNaunga mkono hoja.
Ni kweli ipo Poa lakini inaadhi ya kuvaliwa na Coventry na sio Bayern Munich!Jezi mbona iko poa mkuu!
Naunga Mkono hoja!Sioni kbsa manti ya kila msimu kuwa na jesi mpya Ni ujinga tu wkt jesi iliyoko bado Ni Kali balaah alfu unaenda kutengeneza,ujinga mwingine tuachane nayo
Mimi nakubaliana na wewe hasa Kwa upande wa jezi kuwa chaguo la mashabiki. Hata kama yupo mwenye tenda tunaweza kusuggest halafu mwenye tenda akatoa.kuna fans concepts huwa ni kali nimeona moja ya yanga ile ya kijani ilikuwa kali katengeneza shabiki tu, hata simba last year kuna za mashabiki zilikuwa kali, bafanabafana wao mwaka huu wameamua kutoa open tender mashabiki wana design na vinatoka vitu vikali sana
Jersey ni biasharaSioni kbsa manti ya kila msimu kuwa na jesi mpya Ni ujinga tu wkt jesi iliyoko bado Ni Kali balaah alfu unaenda kutengeneza,ujinga mwingine tuachane nayo
Sasa huoni ikiwa kama hii itatugharimu?Hata ikivuja siyo mbaya cha muhimu ni jezi iwe nzuri.
Ulishawahi kununua? Au uli plan kununua msimu huuKama ndio hii basi mbovu na sintanunua.