Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
 
Umemsahau Karim Mandonga.
 
Rostam Aziz akae kwenye bonus!
Kwa uliowaweka kwenye orodha hiyo naamini Rostam yuko top 4 sio bonus.
 
Awamu iliyopita hao wote walikuwa ni nobodies,

Just in two years time,meza imegeuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…