Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Kwenye uchaguzi wa Nec hao uliowataja waliachwa mbali sana na Gwajima na Musukuma
 
Huyo Silvester Koka ndo nani!?
 
Wewe ni wangapi kwenye hiyo list?
 
Ondoa Bashungwa weka GSM.
 
Ridhiwani yupo top ten Ila Rostam aziz ni bonus 😁😁😁, by the way naamini nchi hii kuna watu wana power kuliko hawa tunaowaona kwenye public eyes
 
Gigi Money je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…