Maoni ya Director General wa WHO kuhusu lockdown kwa nchi masikini kama Tanzania

Maoni ya Director General wa WHO kuhusu lockdown kwa nchi masikini kama Tanzania

Kama nchi tajiri wanashindwa sisi bongo tutaweza wapi?
Kabisa kabisa mkuu. Mimi Ngosha simfagilii kivile. Ila kwenye hili namuunga 100%. Mimi nina aunt yangu mnyarwanda analalamika mbaya mno. Ila kama ujuavyo nchi ile ya kijasusi kila kona bwana yule hana simile. Haangalii cha mtusi wala mhutu..ukiwa mpingaji unapotea.
 
Kenya watu waliuawa na polisi wanazidi waliouawa na corona (source ni aljazeera).
Hata hivyo kenya lockdown iko usiku tu.. mchana ni free kutembea..

Hata uganda hawajafanya total lockdown watu bado wanatembea mchana tu ndio maana hakuna aliyekufa njaa..

Rwanda sina data.

Kubali kataa kwa nchi zetu total lockdown HAIWEZEKANI!!
Rwanda wana total lockdown na serikali inatoa chakula. Uganda na Kenya wana partial ila Uganda serikali imetoa chakula kwa baadhi ya watu. Lockdown ni mbaya ila kumbuka walioamua kufanya si kwamba wamependa.
 
Hali si hali jamani kuna watu wameanza wenyewe kujiweka ndani huwa nawaza hawawezi kuimili kwani wangine hawana uwezo hivyo hali hii itabaki kuwa ya Muda mrefu waliopo ndani hawata himili

Kingine kwa hali ya maisha vile vioshea mikono na Barakoa ni wachache wanaweza kununua

Suluhu ni kuomba Mungu dawa ipatikane au chanjo au miujiza .
Vinginevyo hata uwe tajiri vipi huwezi kusema upo salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema nini hapo haujagusia ukweli kwamba sasa kitu inatembea local host to another local host.
Ndio maana mna ambiwa mchukuwe tahadhari. Tanzania bila COVID-19 inawezekana. Vaa barakoa, osha mikono, punguza safari zisizo na lazima, chunga afya yako msivute sigara nk..
 
Back
Top Bottom