Maoni ya Katiba Mpya: Kama madaraka yanatokana na wananchi, kwanini Rais Samia aseme kuwa mapendekezo ya Kikosi Kazi siyo amri kwa Serikali?

Maoni ya Katiba Mpya: Kama madaraka yanatokana na wananchi, kwanini Rais Samia aseme kuwa mapendekezo ya Kikosi Kazi siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.
Watawala wa ccm wanaona wao wana hati miliki ya Nchi hii!
Bila wananchi 'kuja juu' haya manyanyaso kwa vyama vingine hayatakoma!
Tufike mahali tuiambie ccm hapana na inatosha!
 
Mada Bora kabisa kwa Wenye akili. Siku hizi naona ugonjwa wa viongozi wa serikali kutoheshimu madaraka ya Wananchi umeenea Hadi ngazi za Kata.
Bila bila
Hivi huyu Rais wetu anadhani kuwa atayipitisha yale tu anayoyapenda yeye?

Cha ajabu zaidi hao kina Profesa Mkandala, kawaahidi "kuwazawadia" handshake!

Hebu tujiulize hiyo handshake inatokana na nini, wakati hao akina Profesa Mkandala walikuwa wanalipwa posho nono, kipindi chote walichokuwa wakikuasanya hayo maoni?

Hiyo handshake, naichukulia kama aina fulani ya Rushwa🥺
 
Unaunda kikosi kazi cha mchongo kisha kinakuambia kuwa katiba mpya ni lazima🐒🐒🐒
 
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilisha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho maoni yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Mara nyingi tunashindwa kutenganisha umma na serikali na vyama. Umma ndo unatawala hawa watu yaani serikali na vyama. Tunafikia wakati chama kikikiwa madarakani basi chenyewe ndo mungu mtu na kila kitu tunashindwa kutambua kuwa kuna nchi za wenzetu watu wanatawala week 3 tu wanang'atuka na chama kinakuwa nje ya utawala kwa miaka zaidi ya 60 na kinakuja kutawala kama Italy. Tumeamua kuiga demokrasi ya wenzetu basi tuifuate. Kama mnataka tuwe kama nchi zinazotuzunguka usiihusishe Kenya basi tukae kimya na kusema ndiyo bwana ndiyo bwana.
 
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilisha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho maoni yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Je unaulizia ile Government of the people by the people for the people ?? Bado tunaenda mdogo mdogo sana lakini tutafika !!
 
Mkuu Mystery nakuelewa ila bado nabaki palepale aliye pale juu anaweza kuja na nia thabiti kutaka kuleta mabadiriko ya kikatiba ila akiwa pale anakutana na wenye nguvu kuliko yeye hao ndiyo wanaompa direction ya nini asimamie na nini aache.

Hivi unadhani legendary asingegusa issues za watu na kuzuia madini wangemuondoa?.
 
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilisha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi.

Hata hivyo nimeshangazwa Sana na kauli iliyotolewa na Rais Samia baada ya kuyapokea maoni hayo, kuwa maoni hayo ya kikosi kazi, siyo amri kwa Serikali.

Hiyo ina maana kuwa Serikali inaweza ikayatekeleza maoni hayo au isiyatekeleze!

Ifahamike kuwa maoni ya kuibadilisha Katiba yetu ni ya muda mrefu Sana, toka kwa wananchi walio wengi hapa nchini, kuwa Katiba tuliyo nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, kwa hiyo haitufai kwa Sasa, wakati nchi ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa hiyo wananchi hao, wanataka iandikwe upya Katiba hiyo.

Kama tunaambiwa kuwa madaraka yanatokana na wananchi na wananchi hao hao ndiyo wanaosema kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi ni LAZIMA ubadilike na Ili ubadilike ni LAZIMA tubadili Katiba yetu, inakuwaje Rais wetu, atamke maneno ya jeuri kiasi hicho, eti maoni ya kikosi Kazi, siyo amri kwa Serikali?

Tunajua kuwa serikali hii ya CCM hawapendi kabisa kuibadilisha Katiba hii, kwa kuwa wao ndiyo wanufaika kwa kiasi kikubwa na Katiba hii ya Sasa tuliyonayo.

Hata hivyo ninachowaomba watawala wetu wa CCM, wajali maslahi mapana ya nchi, kama wananchi walio wengi, ndiyo wanaosema kuwa Katiba tuliyo nayo hivi Sasa, haitufai kwa sasa, kwa kuwa imepitwa na wakati, iweje yeye Rais atamke kuwa Serikali yake hailazimiki kuyafuata maoni hayo ya wananchi?

Niwasihi watawala wetu, ni vyema mkasikiliza maoni ya wananchi, kwa kuwa wananchi hao ndiyo waliowaweka madarakani na hampaswi kusema kuwa mna hiyari ya kuwasikiliza wananchi hao au laa!

Maneno yaliyotolewa na Rais Samia ya kusema kuwa Serikali yake inaweza kuyafanyia marekebisho maoni yaliyotolewa na wananchi au isiyatekeleze, ni maneno ya hatari Sana, ambayo yanaweza yakasababisha machafuko hapa nchini, hata kufikia umwagikaji wa damu hapa nchini.

Niwasihi Sana watawala wetu, wasingoje hadi nchi yetu ifikie umwagikaji damu, kama ambavyo imetokea kwa baadhi ya mataifa mengine, bali muyatekeleze kwa kuwa ndiyo maoni ya wananchi na muepuke kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko makubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Nnje ya Tume ya Warioba mavikosi mengine ni Kanjanja tu.
 
Back
Top Bottom