Lkn ukumbuke kuwa mo ndo mmiliki wa uwanja wa bunjuSawa Ila wajue Simba ya Kilomoni ndio inamiliki jengo la msimbazi na uwanja wa Bunju na pia ndio timu iliyoko ligi kuu hiyo Simba ya mo itabidi inunue timu na kucheza ligi kuu.
Mo amekuta uwanja umeshanunuliwaLkn ukumbuke kuwa mo ndo mmiliki wa uwanja wa bunju
Uwanja wa Bunju (Ardhi) walipewa kwa msaada wa Kikwete...Mo anawatapeli tu.Lkn ukumbuke kuwa mo ndo mmiliki wa uwanja wa bunju
Hii Simba wangeigawa mara mbili. Simba Mangungu na Simba MO. Kama zamani si kulikuwa na Simba na Small Simba.
Baada ya mgawanyo huo kila mmoja afanye analotaka sasa. Mashabiki wa Simba mtachagua upande mnao taka.Tumechoka na mivutano yao isiyo na tija.
Pesanyingi View attachment 3016097
Chambueni ya vyura, wadudu wameisha?Sisi wachambuzi....tumechoka Kila siku kuchambua mambo ya kolo