Maoni ya Mwanasheria kuhusu kufungiwa kwa Diamond Platnumz na Rayvanny

Asikilizwe Mara ngapi huyo Freemason nakati hata kwenye ule upumbavu wake wa "African Beauty" walimsitiri?

Ngoja liendelee tu kufunzwa hilo punguwani lenu mxiuuuu...!
Jamaa kavuka mipaka " amesha zitunishia sana taasisi za serikali misuli " refer issue yake na shonza ..inatakiwa apigwe ban nyingine tukufu " ili aweze kujifunza zaidi.. Maana naona bitoz nyangema amesha jiona 2pac
 
Really??

Bwa ha ha ha.....
Ni ruhusa kucheka maana haujui ili iwe legal language inatakiwa iweje, achana na matatizo ya grammar nk,
hiyo ni legal language kwa kuwa inasifa zote za kuwa legal language. Ina ule mtiririko na maneno ya kisheria, na namna ambavyo Mwanasheria anapaswa aelezee jambo.
Hayo matatizo ya grammar na mengineyo hayaifanyi kuwa siyo legal language.
 
Duh; kwako mwalimu Kashasaha, unalizungumziaje suala hili.
....Nashukuru sana Jesse,naona hakuna Chemistry nzuri kati ya Baraza la wasanii na wasanii wenyewe, Waziri anasema wazi wazi tuko kwenye kipindi kigumu kama nchi hio haitoshi Rais anasema tuko kwenye Vita ya kiuchumi, Hapo hapo baraza la wasanii Linataka kupoteza chanzo cha mapato ama kwa kujua au kwa kutokujua, kuna watu wanahujumu juhudi za mwenyekiti wetu wazi wazi,
There is going to be a catastrophic in our Economy!, Kwako Jesse!
 
Hiyo ni cross iliyopigwa perpendiculary na ikarudi kwa kipa kama ricochet kwa kasi iliyomfanya kipa kushindwa kuruka horizontally.
 

So in legalese grammatical errors are 100% permissible?

Can’t stop laughing 😆
 
Naona "nadhani" "nadhani" wewe endelea kudhani mwenzio ndo ashatoa maoni yake hivyo.
 
Nimeshafanya hivyo. Angalia sehemu nilizokoleza kwa wino mwekundu. Makosa ni makosa tu; usianze oh kiongozi wako wa chama sijui nini. Haisaidii kitu.
Sijaona ulipokoleza labda ungeainisha tu Mimi natumia app mara nyingi haioneshi ukikoleza jaribu kuyaeleza tu kwa maandishi huku ukionesha ilitakiwa iandikwaje.
 
Baada ya kukaidi natakiwa kukuita tena na kukusomea kosa lako nasikiliza utetezi wako nakufungia hiyo ndiyo haki ya kusikilizwa.
Kwanini hawakukata rufaa kama alikua na hoja ya kutetea nyimbo yao?
Badala yake yeye akakimbilia kwenye media kubeza kufungiwa kua haimzuii yeye kupata ela, wqlimfungia hapa lkn akienda nje atapafom tu, hii ilikua dharau sana kwa kwa taasisi, haikutosha bado nyimbo akawa anaiimba kwenye matamasha ya wasafi festival,
Mi ni team mond ila kwa hili alionyesha utomvu mkubwa sana wa nidhamu, hata hiyo adhabu naiona ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…